snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,637
hahahah naona hata Amen yako inatetemeka mkuu
ahhahahahhahhahhah sipati picha midomo kama haijaumana alipotamka hiyo eimen!mwe
hahahah naona hata Amen yako inatetemeka mkuu
Bishanga unaniangusha, yaani leo ndo mara yako ya kwanza kupima?kipimo kishachukuliwa,majibu kesho saa nne,kumbe inabidi yasainiwe na dokta,what a wait!
Leo naenda hospitali kupima miwaya.Sina jinsi kuna mtu nimekuwa nikimpiga chenga mwisho kanambia ama nipime au mi na yeye basi.Jaaaaaasho linantoka ndo najiandaa kwenda TMJ hospital,mkiona kimya..............
ila kupima kunahitaji moyo sana, mimi huwa napima mara kwa mara (just in case nijue mapema). kuna siku naongea na kaka mmoja rafiki yangu, imagine ana watoto 2, na najua huwa anaibiaga once in a while, hajawahi pima. siku nikamkalia kooni akapime, akaniambia anaogopa sana kupima na hawezi kumwambia mkewe wakapime. nikamwambia leo mimi nitakuwa either mkeo or your girlfriend, twende. tukaenda, nikamwambia Dr. tumekuja kupima na huyu ni my husband. akatupima, yule kaka alikuwa karibia azimie, sasa ikabidi nijifanye kweli ni mupenzi, kumsugua mgongo........ tulipopata majibu Dr. ikabidi acheke sana, maana hakujua ni jinsi gani jamaa ni charming hadi baada ya majibu............... tukaambiwa turudi after 3 months, kwani nimemuona tena! akaniambia ile pressure ya siku ile haitaki tena
chezea kupima weweeeeee Erickb52hahahahahaaa FP umenichekesha sana lol Kupima noma aisee
Nilivyoona tu kichwa cha habari nikajua mzee mwenzangu umeishiwa nikukopeshe....
:focus: Wala usitegemee utapanda maharagwe uvune mpunga Bishanga. Walinena wadhungu "AS you sow so you shall reap" mwisho wa kunukuu.
Wewe inagombea ndito (dadaz) kila siku kwani ww haijui kuwa iko kitu inaitwa gonwa ya kisasa? Nway kwa maoni na ushauri fanya mazoezi mara kwa mara kula vyakula vyenye kukuongezea nguvu na matunda kwa wingi na uwe unatumia ARVs kama utakavyoshuriwa na daktari. Ukifuata ushauri utaishi miaka mingi.
Ha ha ha Arusha bana ARVs hata majibu bado???
REKEBISHA JINA LANGU HAPO JUU CHAP KABLA SIJAKUGOMBESHA. Dena Amsi ukishaona hivyo unauliza nini tena hapo? Wamemwangalia tu wakajua tayari na wamemwambia arudi kesho...... ulishaona wapi mgongwa wa ngoma akiambiwa arudi kesho? Hapo wanamwaandaa mshauri nasaha ajue jinsi atakavyomwandaa jamaa kupokea vipimo. Ime-eat kwake huyo. BTW this is CC remember?
Heheee FP sawa hata mimi nishakumbwa na kituko ila namezea tuchezea kupima weweeeeee Erickb52
mtu na ujanja wake wote uliisha. yaani mpaka leo akikumbuka ananiuliza nilifanyaje mpaka nikamfikisha kupima, hakumbuki kama angeweza kufanya hivyo katika maisha yake.
kuanzia siku hiyo tukibishana kitu tu anamaliza mjadala mapema maana anasema naweza kumshinda, lol!
Wewe mtani hebu kula kona bana, utakufa siku si zako. Endelea kupiga chenga, akikumwaga ahueni yako!.Leo naenda hospitali kupima miwaya.Sina jinsi kuna mtu nimekuwa nikimpiga chenga mwisho kanambia ama nipime au mi na yeye basi.Jaaaaaasho linantoka ndo najiandaa kwenda TMJ hospital,mkiona kimya..............
Hajakwenda Angaza majibu hapo hapo amekwenda TMJ apate majibu kwa maandishi aonyeshe ukoo mzima huoni kalipia wakati Angaza ni bure...............