Leo naenda hospitali kupima miwaya.Sina jinsi kuna mtu nimekuwa nikimpiga chenga mwisho kanambia ama nipime au mi na yeye basi.Jaaaaaasho linantoka ndo najiandaa kwenda TMJ hospital,mkiona kimya..............
Leo naenda hospitali kupima miwaya.Sina jinsi kuna mtu nimekuwa nikimpiga chenga mwisho kanambia ama nipime au mi na yeye basi.Jaaaaaasho linantoka ndo najiandaa kwenda TMJ hospital,mkiona kimya..............
Eimen.
kipimo kishachukuliwa,majibu kesho saa nne,kumbe inabidi yasainiwe na dokta,what a wait!
kipimo kishachukuliwa,majibu kesho saa nne,kumbe inabidi yasainiwe na dokta,what a wait!