Atakuwa wa mbeya au Bukoba, watafute wahaya na wanyakyusa watakuwa wanamfahamuWakuu kuna mtu mwenye kuijua anuani ya huyu kiumbe tafadhali! Nitashukuru sana.
Unajua nilikua nikiyaona yale magazeti ya udaku na zile picha zinazo pamba kurasa za mbele nilihisi ni watu wakuchorwa! kumbe hapana bwana ni watu wa kiukweliukweli, aisee kweli Mungu wacha aitwe Mungu kwa kuumba.
Vipi unamuuza?aiseeeeeeeeeeehhhh.................but hajamshionda shemegy yenu.
Kaka Ndallo, usipoangalia na kujipanga vizuri kuna siku utaokota jini. Mrudie Muumbaji wako na usali kila mara ili akusamehe na kkuepusha na tamaa, hasa tamaa za zinaa na ufisadi.
Atakuwa wa mbeya au Bukoba, watafute wahaya na wanyakyusa watakuwa wanamfahamu