Kandulla
New Member
- Feb 26, 2021
- 3
- 0
Mimi ni kijana wa kiume (25) nipo Dodoma nahitaji kufanya biashara, nina mtaji wa shilingi laki Tano tu 500,000.
Je, nifanye biashara gani itakayonipatia faida na kukuza kipato changu? Nina ujuzi wa kompyuta na ualimu tu.
Mawazo yenu wakuu.
Asanteni.
=======
Nyuzi unazoshauriwa kusoma:
1. Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)
2. Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?
Je, nifanye biashara gani itakayonipatia faida na kukuza kipato changu? Nina ujuzi wa kompyuta na ualimu tu.
Mawazo yenu wakuu.
Asanteni.
=======
Nyuzi unazoshauriwa kusoma:
1. Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)
2. Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?