Naomba ushauri

Naomba ushauri

😁😁😁 Umeniwahi mkuu ila acha na mimi nijaribu bahati yangu,
Usiishi kwa kubahatisha maisha mtoto mzuri me nipo Songea nafanya kazi halmashauri ya Songea,
Njoo tuanzishe maisha unaonekana ni binti mwenye utulivu wa kiakili.
Mmmh
 
Miss usinune,
Tuonane inbox tuyajenge tafadhali kama utaridhia,
Tutaanza na urafiki then ukihisi tunaendana tutaboresha zaidi uhusiano wetu.
Ahsante 🙏
Yani unabold hivi maandishi, labda🤷🏽‍♀️
 
1. Kama ni mchumba. Fungeni ndoa na baada ya hapo anzeni mchakato wa kumfuata mwenzako (kama ni mtumishi wa umma)

2. Kama mlikuwa mnakulana kwa jina la uchumba, achana naye tafuta mwingne maana ndo maisha uliyoyachagua na endelea kuongeza body counting

3. Acha ujinga tafuta mme akuoe.
 
Siwezi mfata na mimi nipo songea permanent job na ni wachumba tu hatuna ata mtoto uchumba wetu una mwaka
Hamko serious ktk hayo mahusiano yenu, wee permanent place ni Songea, yeye Njombe.
Ko hamkuwaza kuwa na permanent place 1 ya wote wawili??? Lol
 
Njoo hapa mji mwema nikupige kimoja cha fasta.
 
Back
Top Bottom