Naomba ushauri

Naomba ushauri

Kama mtamu, jipe moyo. Ila kama unajua ni kaza buti twende, hapo mtihani.
Ila umenikumbusha mbali aise. Janeth alipo maua yake apokee. Mdada mkoa furani,alipatana na mkaka kazini. Mdada akawa analalamika wanampanda na kumuacha. Siku moja kaja kuomba service kwangu,ndo akawa ananihadithia na kuomba ushauri. Bahati mbaya au nzuri, miaka hiyo mambo hayo siyajui. Ila akaniambiaje, eti ntafanya kila linalowezekana, ila huyu lazima anioe. Apende asipende,hachomoki. Na kweli, mpaka leo ndo mme wake.
Sasa na wewe, inategemea na una mpango gani. Kama vipi,fanya kama wengine ajikute hana pa kukimbilia.

Mwambie kwamba unataka akuache na mimba kwanza. Jibu utakalopata,utajua kifuatacho.
 
Pole sana,najua muda huu una umia sana na kujihisi mpweke mixer na kua na wasiwasi,

Kama anakupenda kweli na wewe unampenda kweli na mlikua na malengo yenu,basi usiwe na wasiwasi,ila muwe mnawasiliana mara kwa mara,

All the Best.

Kama mtamu, jipe moyo. Ila kama unajua ni kaza buti twende, hapo mtihani.
Ila umenikumbusha mbali aise. Janeth alipo maua yake apokee. Mdada mkoa furani,alipatana na mkaka kazini. Mdada akawa analalamika wanampanda na kumuacha. Siku moja kaja kuomba service kwangu,ndo akawa ananihadithia na kuomba ushauri. Bahati mbaya au nzuri, miaka hiyo mambo hayo siyajui. Ila akaniambiaje, eti ntafanya kila linalowezekana, ila huyu lazima anioe. Apende asipende,hachomoki. Na kweli, mpaka leo ndo mme wake.
Sasa na wewe, inategemea na una mpango gani. Kama vipi,fanya kama wengine ajikute hana pa kukimbilia.

Mwambie kwamba unataka akuache na mimba kwanza. Jibu utakalopata,utajua kifuatacho.
Alinambia nishike mimba yeye ndo aliomba kwenye mimba Hana shida Nina hofu na anakoenda japo kapangiwa kijijini
Pole sana,najua muda huu una umia sana na kujihisi mpweke mixer na kua na wasiwasi,

Kama anakupenda kweli na wewe unampenda kweli na mlikua na malengo yenu,basi usiwe na wasiwasi,ila muwe mnawasiliana mara kwa mara,

All the Best.
Naomba ni dm Kwa ushauri zaidi
 
Wanaume tuna "saundi" buku kidogo!
Usipotia akili utakuta kuna watu kahama nao. 😊

Nje ya mada: Bibie hakuna Mwanaume mwenye kuwa na "Kipochi manyoya" kimoja. We komaa akuoe akuweke ndani, akutoe nuksi, mengine mwachie yeye. Zamani mama zetu alikuwa anakomaa aolewe chap baada ya hapo anatulia zake si kasha olewa bwana, maana akili zetu wanaume ni kama bendera. Utajikuta una uchumba wa milele mpaka Yesu arudi.

Fanya chap, akuoe kwa taratibu afu uchune. Utakuja kudata wewe.
 
Wanaume tuna "saundi" buku kidogo!
Usipotia akili utakuta kuna watu kahama nao. 😊

Nje ya mada: Bibie hakuna Mwanaume mwenye kuwa na "Kipochi manyonya" kimoja. We komaa akuoe akuweke ndani, akutoe nuksi, mengine mwachie yeye.
Distance ndo inayonipa mawazo je yatadumu ? Ilo tu
 
Distance ndo inayonipa mawazo je yatadumu ? Ilo tu

Makazini wanatoa utaratibu wenzi wafuatane, yaani mtu ahamishwe ahamie kwa mume wake/mke wake. Sio wajinga wale, utakuwa una "flirting" nae kwa simu wakati mwenzio ni mwanaume, anahitaji kila siku!
Mwanaume halisi hayupo hivyo! Kuna watu tuu watakusaidia mbele ya safari.😊
 
Makazini wanatoa utaratibu wenzi wafuatane, yaani mtu ahamishwe ahamie kwa mume wake/mke wake. Sio wajinga wale, utakuwa una "flirting" nae kwa simu wakati mwenzio ni mwanaume, anahitaji kila siku!
Mwanaume halisi hayupo hivyo! Kuna watu tuu watakusaidia mbele ya safari.😊
Hii inaumiza sana japo ndio ukweli mchungu wenyewe
 
Kumbe mpo wawili ukute mtu anakuelewa wewe anajikuta yuko kule sijui inakuwaje hapo😆
Mtu anayenielewa mimi hawezi kuchanganya hizo ID

Yangu baada ya The haina space,
Halafu angalia hata avatar ya huyo,inaonekana kabisa kua hana akili timamu.
 
Mtu anayenielewa mimi hawezi kuchanganya hizo ID

Yangu baada ya The haina space,
Halafu angalia hata avatar ya huyo,inaonekana kabisa kua hana akili timamu.
😄😄😄😄
Screenshot_2026-02-08_135549.jpg
 
Back
Top Bottom