Munch wa Annabelle
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 6,274
- 10,844
Naomba kuuliza hili WAKUU
Mimi ni mwalimu wa sayansi masomo biology na geography, kwasasa nataka kuomba kufanya postgraduate diploma ya procurements and logistics management pale TIA, sasa kitu ambacho sielewi ni kuwa kwamfano kwenye maombi ya kazi utumishi naweza kuomba kazi ambazo vigezo ni degree ya kozi hiyo?
Au mpaka nisubirie kazi za postgraduate tu? Na je kama mpaka nisubirie, je rate ya matangazo ya kazi serikalini kwa watu postgraduate diploma katika kozi hiyo ni nzuri au hali ni mbaya?
Wakuu ushauri wenu ni muhimu nisije kupoteza pesa zangu bure.
Nawasilisha
Mimi ni mwalimu wa sayansi masomo biology na geography, kwasasa nataka kuomba kufanya postgraduate diploma ya procurements and logistics management pale TIA, sasa kitu ambacho sielewi ni kuwa kwamfano kwenye maombi ya kazi utumishi naweza kuomba kazi ambazo vigezo ni degree ya kozi hiyo?
Au mpaka nisubirie kazi za postgraduate tu? Na je kama mpaka nisubirie, je rate ya matangazo ya kazi serikalini kwa watu postgraduate diploma katika kozi hiyo ni nzuri au hali ni mbaya?
Wakuu ushauri wenu ni muhimu nisije kupoteza pesa zangu bure.
Nawasilisha