Vigezo vya kazi Tanzania nzima ikiwemo Utumishi,qualification zake ni degree ya kwanza katika masomo uliyoyachukua.kwa kusoma kwako hiyo postgraduate ya procurement hakutakuwezesha ww kufanikiwa kuomba kazi za hiyo fani ya procurement.
Ni mbaya zaidi kwa kada yako hiyo ya ualimu categorisation ambazo zinakubali ni chache sana,ikiwemo zile position za academic Officer au zile kada zisizohitaji professionalism.
Kama lengo ni kuongeza kipato,basi tumie hiyo hela tafuta nafasi Halmasgauri,wizara ya Elimu au Wizara ya TAMISEMI,na baadhi ya Taasisi kama PSSF,NSSF zina nafasi kama Afisa Mafao ambazo hazihitaji professionalism.
Vilevile,kama lengo ni kwenda nje tafuta kozi za diploma katika mazingira au nurse hizo unaweza kubahatisga kwenda huko.
*** but kumbuka lolote ufanyalo muda sio rafiki kama uonavyo.