Feld Marshal Tantawi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2014
- 609
- 1,007
safi sn kwa elimu nzurYaan Best ni utumie Wifi, Kama haiwezekan tumia data ila ukiwa unatumia data mara kidogo unazima then dakika 5 umewasha simu haijatulia ukazima tena mara unawasha kuna watu wanafanyaga hivyo, ukifanya hivi unadrain battery faster either zima data completely tumia wifi au acha data on zima background apps iPhone yako ita survive mda mrefu
Hivo ni mda gan sahihi wa data kuwa off na kuwa on
Yan angalau baada ya mda gan unaweza iwasha kama ulikua umeizima?