Naomba ushauri: Nimezaa na dada yangu

sijui sasa tushike au tuamini lipi....funguka mleta mada ni kama unachanganya mada.
 
A cha maneno yakipumbavu ungemwonea kinyaa ungempa mimba tafuta neno zuri nasio kusema kinyaaa

naona kinyaa baada ya kugundua ni dada yangu haa mgegedeo hausimami nikimgusa
 
Hahahahaha
Mkuu Wewe una sahau sana hebu wasome tyta na watu8 wamekukumbusha! Mkuu umesahau Jf ina tunza kumbukumbu?

mkuu huyu watu8 na Tyta wanaongea kwa kuhisi lakin ukweli ndio huo kwann nidanganye? Achen kuisemea nafsi ya mtu
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha
Mkuu Wewe una sahau sana hebu wasome tyta na watu8 wamekukumbusha! Mkuu umesahau Jf ina tunza kumbukumbu?

mkuu huyu watu8 na Tyta wanaongea kwa kuhisi lakin ukweli ndio huo kwann nidanganye? Achen kuisemea nafsi ya mtu
 
Last edited by a moderator:

Relaax mkuu, dont lose your energy kwenye fabricated story! Cheki comment ya watu8 na tyta......
 
Mkuu bado ile sredi ya vaisley banah...Ila jamaa ni msanii..Imagine watu wamekomaa na keypads wakimwaga maushauri...!

kofyakah..wewe jamaa punguza kamba banah..!

hii ni ukweli mtupu kaka siwez kuidanganya jamii kubwa kama hii halafu hyo ya vaislay staki unitibue ntakuibukia ukileta usenge ohooo!
 
Last edited by a moderator:
huyu 7 5 mm ni mtunzi mzuri sana wa hadithi,kwa nini usiwe script writer?
 
Last edited by a moderator:
It does not make any damn sense!!
Habari ya uongo mkubwa 7 5 mm afungiwe na Mods kwa habari zake za uzushi
 
Last edited by a moderator:

ww unawashwa nn.
Ng'ombe kweli www
 
Last edited by a moderator:
hii ni ya kweli vp unaweza kunithibitishia ushahidi wowote kuwa huu ni uwongo

Wewe sio tu ni muongo bali unaweza ukawa hata na mental disorder!Mwezi jana umeandika hapa kuwa mkeo anapata raha yy tu kitandani!

Leo unatuambia umezaa na dada yako tena mtoto ana miezi 5!Iweje ushangae kwanza ya kutofurahia tendo la ndoa na mkeo ambaye dada yako lkn usishangae kuzaa na dada yako mwezi wa 5 sasa?

Mods watu kama hawa ndiyo wanaifanya MMU ionekane kama genge la wahuni!Tunashukuru sana watu8 na Tyta kuwaumbua waongo hapa!
 
Last edited by a moderator:
mi ndo wa kwanza nilikata tiketi kabla afu movie haijanoga itabidi mnilipe fidia nyie maadui mnaanzaje kumuandama sterling mwanzo mwanzo lol

halafu na nyinyi msinitibue kabisa mtanisababishia BAN bure .
Mm sio mwongo kama nyie nyau nyinyi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…