Waache wawe mabwa bwa
siku zote prefer gesti na hoteli.....kulala vitanda ambavyo hujatoa pesda kununua kunaweza kukuletea hatari kubwa
unaweza poteza maisha.......
cha kwanza hama hama hapo na usirudi tena....hata ukiendelea na huyo msichana hapo usikanyage
Yan ka!!! uyo mwanamke anachezea bahati...ngekua mm ngepima na uyo mbaba ngeendelea nae tu coz watu wenye family wanajua kutunza na kujali....nasema ivo kwasabab baadhi yenu wanaume amna shukran hata kidunchu dada wawatu anaonyesha upendo kwako lakin mwisho wa siku utasahau yote na utamuacha uyo dada tena utamuacha kwa mbwembwe sana tu...kiushauri mwacha dada wawatu aendelee na mbaba wake unatia doa kwenye penzi lao...
why ufikirie hivyo?
yani nikijua boyfriend wangu kaongwa kitanda ni kibuti siku hiyo hiyo ... pumbafu kabisa
siku zote prefer gesti na hoteli.....kulala vitanda ambavyo hujatoa pesda kununua kunaweza kukuletea hatari kubwa
unaweza poteza maisha.......
cha kwanza hama hama hapo na usirudi tena....hata ukiendelea na huyo msichana hapo usikanyage
heheheheee umenfurahisha ad wat wamenshangaa maana nmecheka pekeangu
ah sasa bora ajilie tigo kabla wajanja hawajaja kumfumua marinda
nao waliwe tigo na mbwa hadharani
Mmmhhh
Kasheshe
We sepa tu hapo mi havyojua hawa wazee huwa hawapendi ku share
Ucje pigwa risasi bure
Bt kilichonishangaza ni kuona mama wa bint atakuja mpaka hapo it means anaelewa kuwa mtt wake kuna mtu ndo ananuweka.mjini.....
Aiseeeee lyk mother lyk daughter