Naomba Ushauri, nataka kurudi shule nikasome Master's

All in all usitoke nje ya ulichosomea 1st degree, kasome Master of education...
Faida yake ni rahisi kupata kazi vyuo vya kati na vyuo vikuu...
Kama sasa hivi una GPA nzuri kuanzia 3.8 omba kuwa TA ktk vyuo vikuu within a year utakua umepata...
Kama GPA ipo chini ya 3.8 omba vyuo kati...
BAHATI MBAYA ktk ualimu wa secondary au primary hata usome uwe na phd mshahara wako utafuata scale zilezile kama ulikua D basi utangoja zamu ifike uingie E
Thanks mkuu, Ila tegemeo langu ni kuwa, baada ya kumaliza master ndio nisake opportunity katika vyuo..maana saiz Nina GPA ya 3.5..naona Kama ngumu kupata chuo Cha kufundsha kwa saiz
 
Thanks mkuu, Ila tegemeo langu ni kuwa, baada ya kumaliza master ndio nisake opportunity katika vyuo..maana saiz Nina GPA ya 3.5..naona Kama ngumu kupata chuo Cha kufundsha kwa saiz
Kila lakheri mkuu nenda kasome usikubali kuridhika na Degree moja, maisha ya ajira yanabadirika sana sikuhiz degree haina thamani, ikitokea fursa wanaangalia kama una Masters, by the way ukimaliza tu masters wew mwenyew utajikuta unaona fursa nyingine nzuri na utazipata
 
Kila lakheri mkuu nenda kasome usikubali kuridhika na Degree moja, maisha ya ajira yanabadirika sana sikuhiz degree haina thamani, ikitokea fursa wanaangalia kama una Masters, by the way ukimaliza tu masters wew mwenyew utajikuta unaona fursa nyingine nzuri na utazipata
Zingatia huu ushauri boss.
 
Hakuna manufaa isipokua utaongezewa ngazi mbili za mshahara,, mf Kama uko TGTS D2 utapelekwa TGTS D4,,,,,,zaidi Maningu yataongezeka Sana Kazini,,,nimegraduate MA.ED 2018 najua ninachokiandika
Manini yataongezeka mkuu....
Duh kumbe ni ngazi mbili tu mzee....
 
Wakuu hivi Kati ya

Masters of education in Administration and policy planning
Na
Masters of education in Quality management

Ipi mtu asome zote zipo Open university ushauri wa haraka wahitajika wakuu
 
Back
Top Bottom