Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 4,318
- 10,022
Ndugu zangu salam.
Nataka ninunue godoro la kulalia mim mwenyewe, nataka godoro jipya Size 5/6 nchi 8
Nimepitia thread za magodoro humu nimeona nyingi ni za zamani sana hivyo nikafikiri ninahitaji currently views kwamba kwa sasa ni magodoro gani bora na imara zaidi?
Bajet 200,000-250,000. Mahali ni Mbeya.
Ahsanteni.
Nataka ninunue godoro la kulalia mim mwenyewe, nataka godoro jipya Size 5/6 nchi 8
Nimepitia thread za magodoro humu nimeona nyingi ni za zamani sana hivyo nikafikiri ninahitaji currently views kwamba kwa sasa ni magodoro gani bora na imara zaidi?
Bajet 200,000-250,000. Mahali ni Mbeya.
Ahsanteni.