Kertel
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 5,270
- 4,975
wana kiwanda wapi hawa jamaaTafta qfl tena ukibahtika kiwandani unapata godoro zuri sana hutojuta kabisaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
wana kiwanda wapi hawa jamaaTafta qfl tena ukibahtika kiwandani unapata godoro zuri sana hutojuta kabisaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu kuna godoro nililiona pale songwe airport ni hataree ila ni traffic unene wa kabatiNdugu zangu salam.
Nataka ninunue godoro la kulalia mim mwenyewe, nataka godoro jipya Size 5/6 nchi 8
Nimepitia thread za magodoro humu nimeona nyingi ni za zamani sana hivyo nikafikiri ninahitaji currently views kwamba kwa sasa ni magodoro gani bora na imara zaidi?
Bajet 200,000-250,000. Mahali ni Mbeya.
Ahsanteni.
Godoro bora kwangu ni DODOMA tuNdugu zangu salam.
Nataka ninunue godoro la kulalia mim mwenyewe, nataka godoro jipya Size 5/6 nchi 8
Nimepitia thread za magodoro humu nimeona nyingi ni za zamani sana hivyo nikafikiri ninahitaji currently views kwamba kwa sasa ni magodoro gani bora na imara zaidi?
Bajet 200,000-250,000. Mahali ni Mbeya.
Ahsanteni.
mkuu kuna godoro nililiona pale songwe airport ni hataree ila ni traffic unene wa kabati
Vzr mkuu hapo kwenye Tanform nakubaliana na ww 100Mimi nlikuwa ni muza magodoro hapo nyuma agizia daresalam godoro la tandform arusha hutajutia hela yako ulio itoa ukishindwa nunua godoro la (dodoma quality form limited) ukishindwa tena nunua super banco hayo magodoro hutajutia hela yko na niwashauri nunua godoro lenye foronya ya kawaida au ambalo halina foronya achana na maurembo godoro lililo dizainiwa na dhani umenielewa.
Ndio yakoje hayo mkuuMagodoro ya kulalia sio mazuri chukua magodoro ya kusimamia hasa upate ya kimburu au kirangi
Kwa hiyo wew ulizaliwa nalo?
Lipi BoraNdio yana tofauti,huoni tu hata majina yako tofauti?
Samahn mkuu hii ni Dodoma Asili au ni Dodoma nini?