Goodluck TZ
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 1,448
- 657
Nina wazo hili "nataka nifungue butcher ya kitimoto ZANZIBAR"
Je mnaonaje hili wadau?
Je mnaonaje hili wadau?
pam0ja nianzie wapi mjin kat auFungua tu watakusaidia kufunga
Fungua tu mkuu ila usiache kuuza na panga lipo mgongoniNa Mimi nataka kufungua kibanda cha urojo Tarime
Naombeni ushauri
Andaa sime, bhang na uajasiriNa Mimi nataka kufungua kibanda cha urojo Tarime
Naombeni ushauri
ha ha...yan we jamaaFungua tu watakusaidia kufunga