Naomba ushauri maana simuamini

Pole

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo muda uliotumia kutafakar unatisha kabsaa kuanza upya maisha yako as long as unajua nn unahitaj usikubal mtu akucheleweshe mae na ktk kumuacha mtu usimuonee huruma bcoz he won't change hata mkiachana akirud akwambie amechange its nothing tabia ni ngozi haibadliki kabsaaa kuna wanaume ni mizigo ya mama zao usikubal akawa mzgo wako kama wanavyotuona sisi kua kuna wakat tunawarudsha nyuma same applies to them kuna wanaume ukiwa nao bora uwe single kulko kubeba mizigo ya mama zao one thing hajakuoa ,haufahamik popote,so its a grt chance kumove on na maisha yako uyo anakusaidia kukusogezea umr tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka kuniambia kuwa pamoja na kuona viashiria vyote hivyo hujaandaa plan B na plan C na plan D?..

Hebu shtuka, kuwa nae na pia angalia wanaume wengine wanaofaa jaribu kuwa nao. Wape nafas wanaume wengine.

Huyo usimuambie kitu, utamuambia mambo yakiwa sawa ukikamilisha plan zako na Bwana mwingine.

Ndio plan zenyewe na wanawake wengi wanafanya,
By the way. Una kila sababu na tumia umbali uliopo kama opportunity .


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…