- Thread starter
- #21
Nimesema ni moja ya matatizo sio tatizo pekee
Kumbe tatizo ni kwamba umri unaenda? Pole sana..
Kumbe tatizo ni kwamba umri unaenda? Pole sana..
vumilia DadaAsante kwa ushauri.kweli nikitafakari jinsi hali itakavyokuwa miaka ijayo najiona kabisa nikiwa mlezi wa familia huku nikiendelea kumvumilia.najua hii itaishia kunijengea chuki na kushindwa kumweshimu.
Miaka minne ?. Na bado huoni kilicho mbele yenu.
Mmmhhhh anyway, ukifikisha miaka 30+ ndio atakutamkia kua Hakuhitaji.
Ushauri wangu...
Kwanza usimuache bila kumwambia.
Kaa uongee naye, mwambie ni miaka minne sasa ,kama kujua na mmejuana , lkn hakuweki wazi, hujui hatima yako, Umri unakwenda, ...mchana laivu mwambie sasa nahitaji uniweke huru na akupe hitimisho kamili ambalo litathibitishwa na matendo nasio porojoporojo za maneno n.k
Mchana laivu... Kuna wanaume ovyo sana, atakutombaa miaka zaidi ya saba.. Usikute amekutoresha na mimba kabisa...alafu mwisho anakuacha ,anaoa mwingine
MTU wa ivo unapaswa uepukane naye kabisa.
Akikuzengua ,nitafute maana namm nipo Dar hahahaha !!.Sijaoa ,Ila Nina mtoto mmoja Nampenda sana, na ukitaka nikuache, basi usimpe raha mwanangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamekumbatia vivuli ,ili waonekane wana mahusiano.Usije ukarogwa kubeba na mimba yake aseee,..
Ni hiviii,kuna wadada baadhi kukaa bila mahusiano mnaona kama mmepungukiwa hivii au mtaonekana mna kasoro mpo radhi kukumbatia bomu for the sake of uonekane uko kwa mahusiano,,ole wenuu tena OLE wenu,maisha yalivyo mafupi bado ukawe na mahusiano au ndoa isoeleweka ni bora uwe single for GOD...
Hebu anza upya,tena anza na MUNGU uone kama huto meet your soul mate,.acha kung'an'gania stress,.loh!!!!
OLE wao,.Wamekumbatia vivuli ,ili waonekane wana mahusiano.
Ila wanayoyapata ndani sasa hahahah ni visa ,roho nusu kutoka.
Ukiuliza kwann?? Utasikia, Umri unaenda tu na kuhisi wamechelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila pole mwaya, usikubali kamwe mwanaume akugeuze pumziko ,kamwe usiruhusu hilo , atayavuruga maisha yako nahatimaye Jina lako litabaki kutamkwa kinywani kama ushuhuda tu kua "Niliwah kua na Rosey yule mwanamke NI zaidi ya shetani"Asante.naufanyia kazi huu ushauri
Kwakweli ni watu wa kusaidiwa tu maana bila hivo Tope la kiza huendelea kushikilia akili, macho na masikio yao.OLE wao,.
Wamefubazwa na ujinga wa mapenzi bandia...yaanii basii tuu
Uko naye ili kuprove hizo deals? Mbona unajichimbia kaburi sasa?Inawezekana nina insecurities za kibinadamu kabisa na huenda ndio zimeniweka kwake muda wote huu.lakini sio insecurities za kufanya nidhani sitapata mtu bora zaidi yake la hasha.nadhani huruma inachangia pia kwasababu baada tu ya kumaliza chuo ndio alipoanza stori za maex wake.pia hata tukipishana jambo dogo anasema au kwasababu nimempita kielimu hivyo natamani mambo makubwa.huruma inanifanya nijaribu kumprove kuwa sio tamaa wala tofauti za kielimu ila ni tabia zake na kutoona mafanikio mbele yetu.
Sitaweza kusema kuwa jf ndio imesababisha kuachana.kwangu imekuwa kama njia ya kutoa dukuduku langu kabla ya kumface.kwanza sijui kama hata anafuatilia mambo ya jf yeye ni pombe na kulalamika kuhusu kazi na maex muda wote.



Aisee ushaur mzur dada yaan nikwel kabisaa.Usije ukarogwa kubeba na mimba yake aseee,..
Ni hiviii,kuna wadada baadhi kukaa bila mahusiano mnaona kama mmepungukiwa hivii au mtaonekana mna kasoro mpo radhi kukumbatia bomu for the sake of uonekane uko kwa mahusiano,,ole wenuu tena OLE wenu,maisha yalivyo mafupi bado ukawe na mahusiano au ndoa isoeleweka ni bora uwe single for GOD...
Hebu anza upya,tena anza na MUNGU uone kama huto meet your soul mate,.acha kung'an'gania stress,.loh!!!!