Naomba ushauri maana simuamini

Naomba ushauri maana simuamini

Wewe ndio wa kumbadilisha huyo mwanaume na umsaidie ili aweze kutimiza ndoto zake-we ni mtu mzima weka mazingira ya kukutanisha wazazi ili uweze kuishi na mwenzako maisha yaende;anakuwa mlevi kwa sababu akirudi home hakuna wa kumuweka bize na wa kumpa ushauri wa maana.
 
Kitendo cha wewe kuishi Dar na yeye mkoani ni gap linaloshawishi kuachana kirahisi, hamna social bonds za kutosha kuona mwenzio anauma (kufeel) kwa nyakati za sasa, nenda kaishi nae, mcontrol kwenye mapato hasa kama unampenda na unataka mfike mbali. Plan mradi ambao pesa yake nyingi ata-invest hapo ili asipate chance ya kuchezea pesa kwa wanawake na pombe. Mambo ya ndoa yatakuja baadae hayo ndio maisha na mahusiano ya sasa. Control him like your husband, mwanaume anatengenezwa na wewe mwenyewe! Usisubiri kutengenezewa na usimkatie tamaa.
 
Kitu kimoja ambacho hakiko sawa ni kwamba hata wewe unamapungufu sana katika mahusiano yenu. Aina yako hata asingekua mlevi ni ngumu sana kuendana. Humsikilizi vipi atakusikiliza? Yeye anaona mkoani panafaa wewe unaona dar ndio panakufaa. Unampangia badala ya kushirikiana, unataka awe namna ambayo hawezi kuwa. Pengine kipato chake sio kikubwa kufanya hayo yote unayoyataka. Au uamue kuendana na anavyotaka,lah muache uangalie ustaarabu mwingine.
Ila ninahakika hayupo kama unavyomfikiria kuwa anaconnection na blablabla nyingine,hawezi tu kuonesha udhaifu.
 
Niwashukuru kwa ushauri na kunipa changamoto za kifikra.tayari nafanyia kazi mengi mliyosema.labda tu nitoe summary ya ninachochukua kutoka hapa.sidhani kama kuweka career yangu pending ili tu niishi na niwe namshawishi mwanaume mzima apende maendeleo ni matumizi sahihi ya muda wangu.kuna waliosema kwamba inawezekana kuna anachonipa au nang’ang’ania kuonekana kwenye mahusiano sio kweli.hata kama he makes me happy muda mwingi natumia nikiwa na wasiwasi na future yetu na uaminifu wake.najiona nikifika mbali na pia naona jinsi hamu yangu ya maendeleo inamkwaza yeye na atabaki kuwa mtu wa kulalamika kila siku.

Kwa mliosema nimemkosea mzazi wake adabu kwa kusema kuhusu tabia ya kuzaa hovyo mtanisamehe lakini ninaamini mambo kama haya kuna wakati yanajirudia.na asingekuwa ameshazaa na mwanamke mwingine labda ningeona utofauti ila nahisi anakoelekea kutakuwa na wengine.haya sio maisha ninayoyataka mimi.

kusema swala la kunywa pombe ni upweke pia nakataa maana mbona mimi nina upweke kuwa mbali naye lakini nahangaika tutafuta maisha badala ya ulevi.hii ni sababu tu ya kutodeal na matatizo yake.
 
Humu humu wamenipa ushauri ni msahau na humu humu nimepata rafiki wa kushare naye kila jambo ninaloona nilakushirikisha rafiki.
Nimtu mzima anajieshimu anajipenda anamipaka.
Humu humu nimekuja kumsahau jitu jeusi lisilo la maana lilonitupia maajabu nikawa ndio kutwa kumuhangaikia angalia asiwe kakuloga akupe mimba akutelekezee.
 
Nmepata kazi ya kujishikiliza ambayo inawezekana ikawa ya kudumu sasa nikianza safari za mkoani kila siku si nitaonekana siko siriaz?pia sitaki kujiaminisha kuwa nitambadilisha na kumfanya aanze kupenda maendeleo sasa hiv
Kwa hiyo kama mtaoana mtaishije? Sina maana umbadilishe kwani mtu mzima mwenye ndevu zake kubadilisha si rahisi.... nilichokuwa najaribu kusema ni kuwa watu wengine mara nyingine huwa wanajikuta wanajiingiza kwenye ulevi kwa sababu ya upweke. Mwamuzi ni wewe
 
Niwashukuru kwa ushauri na kunipa changamoto za kifikra.tayari nafanyia kazi mengi mliyosema.labda tu nitoe summary ya ninachochukua kutoka hapa.sidhani kama kuweka career yangu pending ili tu niishi na niwe namshawishi mwanaume mzima apende maendeleo ni matumizi sahihi ya muda wangu.kuna waliosema kwamba inawezekana kuna anachonipa au nang’ang’ania kuonekana kwenye mahusiano sio kweli.hata kama he makes me happy muda mwingi natumia nikiwa na wasiwasi na future yetu na uaminifu wake.najiona nikifika mbali na pia naona jinsi hamu yangu ya maendeleo inamkwaza yeye na atabaki kuwa mtu wa kulalamika kila siku.

Kwa mliosema nimemkosea mzazi wake adabu kwa kusema kuhusu tabia ya kuzaa hovyo mtanisamehe lakini ninaamini mambo kama haya kuna wakati yanajirudia.na asingekuwa ameshazaa na mwanamke mwingine labda ningeona utofauti ila nahisi anakoelekea kutakuwa na wengine.haya sio maisha ninayoyataka mimi.

kusema swala la kunywa pombe ni upweke pia nakataa maana mbona mimi nina upweke kuwa mbali naye lakini nahangaika tutafuta maisha badala ya ulevi.hii ni sababu tu ya kutodeal na matatizo yake.
Mi naona we kumbe ulikuja kuomba ushauri halafu tayari una conclusion ya kutaka kuachana, basi mwache, lakini nikwambie hakuna mwanaume asiye na mapungufu, tena bora hata huyo.
 
Dyudyu limekufelisha😀 endelea kulisikilizia.
 
Mi naona we kumbe ulikuja kuomba ushauri halafu tayari una conclusion ya kutaka kuachana, basi mwache, lakini nikwambie hakuna mwanaume asiye na mapungufu, tena bora hata huyo.
Ndio ila usimwambie abaki na ampotezee muda wa maisha
 
Ndio moja ya tatizo linalofanya nisione future baina yetu.yeye ana mawazo ya kunioa ili nitulie nyumbani na kuforce niende mkoani halafu awe ananipa huo mshahara ambao ningepata.ukiacha tu kwamba hii ni dharau kwa kiasi fulani sina imani sana na kazi yake.kuna kupunguzwa kuachishwa kazi na mambo hayo.pia kuna uwezekano ninachokipata leo kesho kikaongezeka kwasababu nina uchu wa mafanikio.nitakapokubali anilipe kama mama wa nyumbani hamna kupanda cheo hapo.

Kwa hiyo kama mtaoana mtaishije? Sina maana umbadilishe kwani mtu mzima mwenye ndevu zake kubadilisha si rahisi.... nilichokuwa najaribu kusema ni kuwa watu wengine mara nyingine huwa wanajikuta wanajiingiza kwenye ulevi kwa sababu ya upweke. Mwamuzi ni wewe
 
Ndio moja ya tatizo linalofanya nisione future baina yetu.yeye ana mawazo ya kunioa ili nitulie nyumbani na kuforce niende mkoani halafu awe ananipa huo mshahara ambao ningepata.ukiacha tu kwamba hii ni dharau kwa kiasi fulani sina imani sana na kazi yake.kuna kupunguzwa kuachishwa kazi na mambo hayo.pia kuna uwezekano ninachokipata leo kesho kikaongezeka kwasababu nina uchu wa mafanikio.nitakapokubali anilipe kama mama wa nyumbani hamna kupanda cheo hapo.
Hapo ni wewe tu kuangalia kipaumbele chako ni kipi.... career au kuanzisha familia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuomba ushauri haina maana mwombaji hana maamuzi ya awali. pia kuomba ushauri sio lazima kufuata kila ushauri unaopewa.katika kurasa hizi chache nimepewa ushauri tofauti tofauti na shauri nyingine zikitoka kabisa nje ya nilichokiuliza.kila mtu na sio wanaume tu ana mapungufu yake.siko kwenye mission ya kutafuta malaika.nimeamua kufuata ushauri ambao unanifaa kwa manufaa ya baadaye.

Mi naona we kumbe ulikuja kuomba ushauri halafu tayari una conclusion ya kutaka kuachana, basi mwache, lakini nikwambie hakuna mwanaume asiye na mapungufu, tena bora hata huyo.
 
Yaan huyo namfananisha na kaka yang anamisifa kama wako, mara nying huwa kufanikiwa hao ni hamna na kaka yang kaoa ila mpak sasa mke wake anajuta. Samahan lakn kama nitakuboa achana na huyo mwanaume kwan hat ukae nae umshauri huwa hawabadiliki akili zao huwa zinawatuma kujiona wao ni matawi tu
Hahaha, mkuu aache ili upate fursa ama!?
 
Sasa wewe unataka aje dar ili iweje? Watu wa dar mnaonaga kama Dar peke yake ndo wanapotakiwa kuishi watu... Ungejua mikoani watu wanafanya mambo Ya maana kuliko hata huko dar unakong'ang'ania....
Anyways Kifupi Jamaa hana mpango wowote wala haraka ya ndoa na wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Comment yako imenikumbuka way back longido sec 2004, yani mtu akitoka likizo dar kama katoka ulaya.
Nakila mtu anataka kujua habari zake.
 
Kama huna kazi Dar jaribu kwenda huko mkoani ukae nae kwa muda mrefu ujaribu kuongea nae kwa kituo. Kuna wanaume wanahitaji mtu wa kuwahimiza kufanya mambo ya kimaendeleo. Pengine hata hiyo pombe anaiendekeza sana kwa sababu ya upweke. Ila tabia yake ya kuongelea ma ex mimi pia sijapenda... nachukia mwanaume ambaye kila muda anaongelea na ex iwe kwa uzuri au kwa ubaya....inaboa kishenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Je ambao hatufut picha za ma ex..yaan madem wote nilio.tomba ..picha zao nnazo kwenye simu.or computer.hapo vip

Sis wanaume mtuache tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usije ukarogwa kubeba na mimba yake aseee,..

Ni hiviii,kuna wadada baadhi kukaa bila mahusiano mnaona kama mmepungukiwa hivii au mtaonekana mna kasoro mpo radhi kukumbatia bomu for the sake of uonekane uko kwa mahusiano,,ole wenuu tena OLE wenu,maisha yalivyo mafupi bado ukawe na mahusiano au ndoa isoeleweka ni bora uwe single for GOD...

Hebu anza upya,tena anza na MUNGU uone kama huto meet your soul mate,.acha kung'an'gania stress,.loh!!!!
Mwenzio hatak ku masterbte

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wamshauri vingi anafanya kinyume chake, mfano wekeza dar anawekeza pengine mnatofautiana mtazamo na anakuona wa tofauti naona kuna vuta nikuvute hapo sioni ndoa kati yenu, yajayo hayatofurahisha kwa kweli
 
Piga chini tu mkuu hamna mtu hapo mambo ya pombe atakua anakula bamaids hatari... unatakiwa upate kind flan ya mwanaume mtulivu na yuko focused. I wish umpate jamaa yangu Fulani hua nataman amuoe dadangu aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom