Dunia Tabu
Member
- Jun 25, 2014
- 53
- 16
Habar Wana JF
Ndugu zangu niko hapa kuomba ushauri utaonipa mwanga wa maisha yangu. Baada ya kuhangaika hatimaye nilibahatika kuajiriwa mamlaka ya bandari.
Nilipata barua yangu ya ajira na kuanza kazi mtwara. Ikapita miezi minne bila kuanza kupata mshahara huku nilioanza nao wakianza kupata. ktk kufuatilia kwangu nikafika hazina ambako janga limenikuta.
Nikaelezwa cheti changu cha frm 4 kimetumika na mtu kaajiriwa yupo ktk system hivyo wao wametuma barua mamlaka husika kusitisha ajira yangu.
Ndugu zangu sijawahi kutoa cheti changu kumpa mtu yeyte na wala huyo simfaham.
Historia yangu nimehitim frm4 2005, Advance 2008, Bachelor UDsm 2011, diploma ya sheria chuo cha uongozi wa mahakama lushoto 2013.
Nikafanya usaili mara 6, ya saba nikapata kazi, leo ndugu zangu naambiwa hivi?
Vyet vyote ninavyo, sina ndugu kusema alitumia, wala sijakitoa kwa yeyote.
Hiv ni kweli ajira nakosa?
Ina maana elimu yangu yote ni bure?
Naomba ushauri nipate hamu ya kuishi.
Ndugu zangu niko hapa kuomba ushauri utaonipa mwanga wa maisha yangu. Baada ya kuhangaika hatimaye nilibahatika kuajiriwa mamlaka ya bandari.
Nilipata barua yangu ya ajira na kuanza kazi mtwara. Ikapita miezi minne bila kuanza kupata mshahara huku nilioanza nao wakianza kupata. ktk kufuatilia kwangu nikafika hazina ambako janga limenikuta.
Nikaelezwa cheti changu cha frm 4 kimetumika na mtu kaajiriwa yupo ktk system hivyo wao wametuma barua mamlaka husika kusitisha ajira yangu.
Ndugu zangu sijawahi kutoa cheti changu kumpa mtu yeyte na wala huyo simfaham.
Historia yangu nimehitim frm4 2005, Advance 2008, Bachelor UDsm 2011, diploma ya sheria chuo cha uongozi wa mahakama lushoto 2013.
Nikafanya usaili mara 6, ya saba nikapata kazi, leo ndugu zangu naambiwa hivi?
Vyet vyote ninavyo, sina ndugu kusema alitumia, wala sijakitoa kwa yeyote.
Hiv ni kweli ajira nakosa?
Ina maana elimu yangu yote ni bure?
Naomba ushauri nipate hamu ya kuishi.