Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,384
- 11,268
Dunia Tabu ndio ujue Dunia ndio ilivyo na hasa Mahakama za hapa TanzaniaAhsanteni ndugu zangu nitajitahidi kuufanyia kazi ushaur wenu. linaniumiza sana hili suala lkn no way out nikuyafanyia kaz yale mazur mlonishaur, naamini kama ni rizik yangu bas mungu atanifanyia wepesi.
ww ni Hakimu unashidwaje kufuatilia kitu kidogo km hicho? je ukiletewa mtu kafoji Cheti cha F 4 utamfanyaje
Mm Mahakimu na Majaji siwapendi asilani kwani nina kesi ya kubambikwa huu sasa mwaka wa 5 inaendelea na haiishi eti wanafuatilia mwandiko huko DSM wakai ni UONGO mtupu
Hapo jamaa yangu Samaki Mkubwa kumbe anaweza kumla Samaki mdogo? pole Hakimu
Dunia Tabu
Today 12:06
Junior Member Array
Join Date : 25th June 2014
Posts : 1
Rep Power : 0