Azniv Protingas

JF-Expert Member
Oct 29, 2020
264
405
Habari wana JF kwenye jukwaa la elimu, kma title inavyojieleza hapo juu. Mm ni mhitimu wa F6 mwaka 2022, bahati nzuri au mbaya matokeo yangu hayakuweza kuruhusu nijiunge na degree nlipata (DEE) kwenye masomo ya combination. Nia yangu ilikuwa kusoma data science km matokeo yangekuwa mazuri. Lkn baada ya matokeo nkapata wazo jipya.

Nia yangu ni kusoma MARINE ENGINEERING (hapo pia naomba ushauri kwa hii KOZI kwa wale wazoefu, katika utafiti wangu mdogo niliofanya naona hii ndo career sahihi) pale DMI kwa ngazi ya diploma lkn kwa wakati huohuo nataka kusoma open university kozi ya foundation ili niweze kujiunga na degree (kozi ni tofauti na hiyo diploma ndo mana nataka nifanye hivyo). Ntaka degree ya Bsc. in molecular biology and biotechnology au data science.

Pia nishawahi kusikia kuna mtu alisoma Diploma na huku anasoma degree online university lkn ya nje, na akahitimu kwa wakati mmoja.

N.b Ila kama mtu Una wazo au ushauri zaidi napokea, najua humu kuna watu wenye uzoefu na wabobezi hivyo haishindikani kupata madini ya kutosha.
 
Chagua kati ya Biomedical Engineering au Civil Engineering, hizi course unaweza ukajiajiri ama ukaajiriwa pia.
Alafu inaonekana una admire kusoma saaaana kijana, ebu penda tafuta hela
 
Chagua kati ya Biomedical Engineering au Civil Engineering, hizi course unaweza ukajiajiri ama ukaajiriwa pia.
Alafu inaonekana una admire kusoma saaaana kijana, ebu penda tafuta hela
Biomedical engineering naweza kujiajiri vp wakati nnavyojua ni mpk niajiriwe hospitali. Pia civil engineering kwa Diploma naona km maboss kutoka kazi sio rahisi mpk uwe na degree
 
Biomedical engineering naweza kujiajiri vp wakati nnavyojua ni mpk niajiriwe hospitali. Pia civil engineering kwa Diploma naona km maboss kutoka kazi sio rahisi mpk uwe na degree
Diploma ya engineering utakuwa kama fundi mchundo kama unaridhia. Biomedical nina girlfriend anasoma uko, since anaanza chuo miaka mitatu hii amesikia nafasi za ajira mara moja ambapo ndipo my sister aliyegraduate mwaka juzi aliajiriwa. Biomedical wenye Degree wachache, hawahitajiki sana na vituo vingine mikoani wanatumia Lab technicians na pharmacologist kubahatisha kazi za biomedical. Hata ununuzi wa vifaa unakuta hawaitwi wanaitwa kufunga, bado hawana bodi kitaifa. Ni kozi haina watu wengi ila itajaa haraka wabongo wanasoma kwa mkumbo.
Kuna jamaa ni biomedical engineer anatokea Southern Africa namjua hizi ruti za kwenda Japan sijui kufundishwa mifumo ya Hitachi kawaida sana kwake. Ni kozi ngumu usiichukulie kawaida.

Ningekuwa wewe nachagua, nachukua marine engineering
 
Biomedical engineering naweza kujiajiri vp wakati nnavyojua ni mpk niajiriwe hospitali. Pia civil engineering kwa Diploma naona km maboss kutoka kazi sio rahisi mpk uwe na degree
Hiyo form six yako bado haija kukomboa. Sikunyingine ukiomba ushauri jifunze kuuliza pale ambapo uelewa wako ni mdogo, kuliko kubisha.
Then nakuona kama mpwa wangu mmoja mjuaji..... wakati hajui chochote p..mbaf kabisa.
 
Hiyo form six yako bado haija kukomboa. Sikunyingine ukiomba ushauri jifunze kuuliza pale ambapo uelewa wako ni mdogo, kuliko kubisha.
Then nakuona kama mpwa wangu mmoja mjuaji..... wakati hajui chochote p..mbaf kabisa.
Kwan nmekosea wap, hyo nilivyosema ni kwa mtazamo wangu na research niliofanya, wap ambapo nmebisha una stress za vikoba nn Mzee, kma unashindwa kutoa ushauri kaa mbali. Mwanzo umeanza vizuri, mm ndio cjui chochote ndio mana nikaja hapa. Mbna huyo T14 Armata kanielewa na katoa majibu mazuri na katembea mulemule kwenye mawazo yangu ambayo yanaweza kusaidia na wengine.
 
Habari wana JF kwenye jukwaa la elimu, kma title inavyojieleza hapo juu. Mm ni mhitimu wa F6 mwaka 2022, bahati nzuri au mbaya matokeo yangu hayakuweza kuruhusu nijiunge na degree nlipata (DEE) kwenye masomo ya combination. Nia yangu ilikuwa kusoma data science km matokeo yangekuwa mazuri. Lkn baada ya matokeo nkapata wazo jipya.

Nia yangu ni kusoma MARINE ENGINEERING (hapo pia naomba ushauri kwa hii KOZI kwa wale wazoefu, katika utafiti wangu mdogo niliofanya naona hii ndo career sahihi) pale DMI kwa ngazi ya diploma lkn kwa wakati huohuo nataka kusoma open university kozi ya foundation ili niweze kujiunga na degree (kozi ni tofauti na hiyo diploma ndo mana nataka nifanye hivyo). Ntaka degree ya Bsc. in molecular biology and biotechnology au data science.

Pia nishawahi kusikia kuna mtu alisoma Diploma na huku anasoma degree online university lkn ya nje, na akahitimu kwa wakati mmoja.

N.b Ila kama mtu Una wazo au ushauri zaidi napokea, najua humu kuna watu wenye uzoefu na wabobezi hivyo haishindikani kupata madini ya kutosha.
Acha utoto nyie badae uanze kutusumbua. Kwa nchi za afrika nenda kasome kati ya hizi

1. Civil

2. Mechanical

3. Electrical

Tofauti na hizo kasome hizi

1. Architecture

2. Irrigation au water
 
Dogo langu Kwa mimi nakushauri wewe kasome chochote utakachokuwa comfortable. Kasome kitu ambacho unakipenda ambacho unaona hata ukiwa unasoma hiyo diploma unaweza anza jichomeka mahali ama kufanya side hustles. Kasome kitu ambacho ukimaliza hata iyo diploma unaweza fanya kitu at the same time simaanishi ndo iwe mwisho wa kutafuta degree. Sema Kwa diploma unaweza pata zali ukaimaliza ukapata government ukaenda kitengo ukaridi kupiga degree..
Naona unasema unatamani kupiga degree open university while unasoma diploma,, Incase u r such dedicated person, good luck to you, ila I feel utakuwa unajitesa.
Katika safari ya kusoma kuna skills labda ambazo nyingine huenda utakuwa kuna baadhi ya course unazozisoma unaweza kuwa unazipata na wewe ukachimba zaidi kwenye hizo courses.
Kwenye engineering kuna courses kama engineering drawing Kwa kutumia AutoCAD na SOLIDWORKS... Watu wanakuwa serious nazo zinawapa pia passive income,
Kwa architecture kuna ArchiCAD watu kwanzia chuoni unakuta washaanza vitu vya pembeni.
Kuna vitu vya graphics hivi mara nyingi havichagui mchepuo wa mtu.
Same to Kilimo, mifugo na mambo ya afya. Wewe tu kuangalia unaweza jipachika humo kama nani, kwenye marketing, server, technical person, nk
Fursa zipo, follow ur heart na mambo hayatakuwa yanakuja tu, kuwa patient, pambana.

🥂✅
 
Achana na wazo la kusoma diploma na degree kwa wakati mmoja.

Kasome Marine Engineering kisha ukimaliza utachagua uongeze ujuzi upande wa academic itakubidi uongeze degree na upande wa competence itabidi ukimaliza utafute meli upande kama officer cadet kisha ukirudi baada ya mwaka utafanya mtihani wa umahiri na utakuwa afisa wa 3 mhandisi melini (3rd engineer)

Kama upo vizuri kipesa direct apply Ghana,Misri au South Africa Ukasome Diploma ya Marine Engineer huko wapo na connection kubwa ya kampuni kubwa duniani utawahi kufikia ndoto yako. Kama upo vizuri zaidi kuna kozi za Diploma 2 years zinatolewa na Lloyd Register Uingereza utasoma kwa Long distance ila ada ni ndefu last time ilikuwa Usd 3000 kwa mwaka. Ukimaliza utapewa electronic bagde kwenye cheti chako na kuhusu kazi upande wa Africa utakuwa appointed na wao pia kuwa na cheti chao utatumiwa na kampuni kubwa kuzifanyia kazi maana Lloyd inaheshima kubwa duniani kwenye sekta ya marine.
 
Hiyo form six yako bado haija kukomboa. Sikunyingine ukiomba ushauri jifunze kuuliza pale ambapo uelewa wako ni mdogo, kuliko kubisha.
Then nakuona kama mpwa wangu mmoja mjuaji..... wakati hajui chochote p..mbaf kabisa.
Hapa umetumia lugha kali na ni kawaida yako mkuu sijui huwa una matatizo gani na vijana, ushauri wako sio sheria wala si lazima akubaliane nao mwenye maamuzi ni mhusika.

Sasa dogo kakosea wapi mpaka umjie juu. Mpaka hapa ushauri wako ni batili, huwezi kuutetea mpaka utukane asiyeupokea.
 
Hapa umetumia lugha kali na ni kawaida yako mkuu sijui huwa una matatizo gani na vijana, ushauri wako sio sheria wala si lazima akubaliane nao mwenye maamuzi ni mhusika.

Sasa dogo kakosea wapi mpaka umjie juu. Mpaka hapa ushauri wako ni batili, huwezi kuutetea mpaka utukane asiyeupokea.
Samahani mkuu, ile mida nilikua nipo mitungi baada ya kazi maana huku kwetu kama saizi ndio saa kumi na mbili alfajiri.
Kama hua nawatusi mara nyingi kwa vijana, sasa naacha pombe kuanzia leo.....🤨
 
Back
Top Bottom