Naombeni ushauri wa kozi ya kusoma ili nianze maandalizi

Azimio la kazi

Senior Member
Jun 7, 2023
138
451
Habari wakuu, naomba msaada wa mawazo.

Bado nipo chuo kikuu, mwakani na maliza masomo mwakani. Nimepata mawazo hapa kuwa baada ya kumaliza masomo apo mwakani nipitilize veta kuchukua kozi hata moja. Sasa naomba kuuliza kozi ipi veta ipo marketable.

Educational status

Olevel division one of 17
Advance division two of 12
Chuo kikuu hivi sasa nasoma bachelor of science with education ( biology and geography)
 
Habari wakuu, naomba msaada wa mawazo.

Bado nipo chuo kikuu, mwakani na maliza masomo mwakani. Nimepata mawazo hapa kuwa baada ya kumaliza masomo apo mwakani nipitilize veta kuchukua kozi hata moja. Sasa naomba kuuliza kozi ipi veta ipo marketable...
Electric installation, welding fabrication, electronics , motor vehicle machanics. Electrical installation
 
Habari wakuu, naomba msaada wa mawazo.

Bado nipo chuo kikuu, mwakani na maliza masomo mwakani. Nimepata mawazo hapa kuwa baada ya kumaliza masomo apo mwakani nipitilize veta kuchukua kozi hata moja. Sasa naomba kuuliza kozi ipi veta ipo marketable.

Educational status

Olevel division one of 17
Advance division two of 12
Chuo kikuu hivi sasa nasoma bachelor of science with education ( biology and geography)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom