Naomba ushauri kuhusu dini

Napenda niende moja moja kwenye nukta muhimu ambayo ningependa kuiongelea kulingana na mada ya Uzi huu

Kwanza mleta Uzi ukimsoma vizuri namna anavoelezea kisa chake ni kana yuatafuta legitimacy (uhalali) wa kuwa mkristo

Unatafuta uhalali kwa nani hapa??? Huyo mwenye mandate ya kukuambia upo sahihi kufanya hivo then ujihisi huru from within??

According to my iman...swala la ibada ni mja na mola wake....tuache kutafuta legitimacy na kufanya campaign kwenye maswala muhimu kama haya..in the end it all fall on you


Kilichokugharimu ni kuwa huijui iman yako hizo nyingine ni drama coz kama since form 1 yuasoma kwa waroma huo uislam(imani yako) umejifunza muda gan wakati since form 1 umeanza shiriki ibada za waroma....utasema ulisoma madrasa.. Madrasa uliyosoma ya alif be te the ndio na al fatiha na sura nyingine za juzuu amma ndio una claim kuwa umeusoma uislam???

Ushauri

1. Wazazi somesheni wenu Leo upo nae kssho anaenda mikoa ya watu, Leo upo nae kesho haupo...acha aje achukue uamuzi wa kufanya atakaloliona ni sawa hali yakuwa wewe ushatimiza wajibu wako kama mzazi wa kumsomesha iman yake na academic pia

2.kama ambavyo ukiwa na ugonjwa unaulizia kwa watu daktari mzuri anapatikana wapi, ukitaka kujenga unatafuta fundi mzuri ni nani, ukitaka kuoa unatafuta binti mzuri wa tabia na sura yuko wapi, mwanasheria mzuri nan, shule nzuri ipi, bus gani ni zuri kwa safari vivo hivyo kwenye maswala ya imani yako ukiwa una jambo tafuta msomi mzuri ni nani, sheikh mzuri ni nani, mchungaji mzuri ni nani, padree mzuri ni nani...sio kwingine kote unatafuta mzuri wa kumpelekea haja yako ni nani afu kwenye maswala ya imani yako unauliza yeyote kila unaemuona bila kujua elimu yake, daraja yake...aya humu JF unawajua wote watakao comment kuhusia na na imani yako level zao za elimu katika imani yako???

Tuache kuzifanya imani zetu kama something subsdiary
 
Mkuu!Mimi naamini katika UZIMA WA MILELE kama alivyo ueleza Yesu mwenyewe:-

Yohana 17:3

Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.




Lakini sarakasi nyingine sizihitaji hata.
Uzima wa milele, Wakati tunaona makaburi ya Wakristo yamejaa, sawa tu na wasiyo Wakristo, unachekesha wewe.
Hebu nenda Mburahati ukaone, angalau mngedanya, kuwa wakristo mtafufuliwa baada ya kufa, maana kufa lazima ufe hivyo hakuna uzima wa milele.
.
 
Nimekuelewa ila sijasoma shule za katoliki nimekaa hostel tu za wakatoliki ambazo hazitoi mafundisho ya dini labda uwe unaenda kanisani kwao na ukumbuke wakat naenda hiyo hostel tayar nilishabadili jina kuwa la kikristo na kusema baba yangu ni mkristo!
Kweli elimu ya chekechea ndiyo niliyonayo kwenye dini zote mbili
 
Waislamu mwenzenu akibadili dini kwenda ukristo mna kasirika sana utafikiri mna hati miliki ya maisha ya kila mtu
 
Ninachopinga mimi ni kutishwa kupigwa mkwara kuhusu ukafiri sijui nini! Nimekuja kuomba ushauri wala sina shari na mtu sasa kwanini unijie na hasira? Lakini coment zote nazielewa na nachanganya na zangu! Aman!!
 
Duh! Sikua najua hilo
 
Amen!
 
Haha muache aje kwa Yesu.

huenda hajapendezwa na ahadi ya mabikra
 
Allah alitaka kiumbe mwingine asujudiwe ?

ngoja nikuitie Kiranga upambane nae hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…