DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,281
- 29,476
Tatizo nini. Hizi hasira zinatokana na nini ?Kama huna cha kuchangia pita kimya.....
Ushamba wako unakufanya uone mitandao ya kijamii ni tishio kwako.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo nini. Hizi hasira zinatokana na nini ?Kama huna cha kuchangia pita kimya.....
Ushamba wako unakufanya uone mitandao ya kijamii ni tishio kwako.....
Yaani nimekumbuka lile swali la Zamani la kilo moja ya pamba na kilo moja ya chuma ipi nzito.
CC 1498 na CC 1498 ipi inakunywa Sana mafuta?
Sent using Jamii Forums mobile app
Toyota wanajua kwamba zote zikiwa na 1NZ basi premio mafuta yataongezeka kiasi ...ila wewe ambae umekumbuka kilo moja ya pamba endelea kumbuka na vitu vingine