mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,564
- 6,399
Kana kwamba hawa wanaotoa ushauri hapa mtandaoni ni maroboti hawatoki kwenye jamii
Mitandao ya kijamii inawafanya watu wawe wehu. Umeshindwa kabisa kuwauliza ndugu na jamaa akiwemo mhusika ukaona mahali sahihi pa kupata mawazo hayo ni hapa mjengoni.