Naomba ushauri ili nichague kati ya gari aina ya Ist au Premio kwa mama mtu mzima

Mmmmh...😔😔😔

Habari wakuu..?


Nlikuwa nafikiria kumchukulia mama angu gar ya kuwa anatembelea hapa mjin, gar ambayo unywaji wake wa mafuta hautomtesa lakin pia yeye kama mama atafanana nayo.

Mimi kama mimi, naikubali sana premio model ya kuanzia 2004 had 2006 ambayo imezoeleka kama premio new model, mapenz yangu kwa IST ni madogo mnoo ukilinganisha na premio...

Kwahyo nikawa nimepanga kuchukua premio kwa ajil ya mama angu, lakin baadhi ya watu wakasema kwa mama mtu mzima premio haitomfaa sana kimuonekano na tena hta kwenye mafuta premio itakunywa sana kuliko IST. Kauli hiz zimenibakisha na maswali mengi sana kichwan had nashindwa kuelewa...
Hivi ni kwel premio yenye 1498cc inakunywa sana kuliko Ist ya 1498cc?

Lakin pia naomba nipate ushaur kutoka kwenu, ipi ni gar ambayo itamfaa mama kwa shughuli za kwenda kutembelea ndugu na jamaa?

Naomba nipate mawazo kutoka kwenu.
Asanteni.
 
Habari wakuu..?


Nlikuwa nafikiria kumchukulia mama angu gar ya kuwa anatembelea hapa mjin, gar ambayo unywaji wake wa mafuta hautomtesa lakin pia yeye kama mama atafanana nayo.

Mimi kama mimi, naikubali sana premio model ya kuanzia 2004 had 2006 ambayo imezoeleka kama premio new model, mapenz yangu kwa IST ni madogo mnoo ukilinganisha na premio...

Kwahyo nikawa nimepanga kuchukua premio kwa ajil ya mama angu, lakin baadhi ya watu wakasema kwa mama mtu mzima premio haitomfaa sana kimuonekano na tena hta kwenye mafuta premio itakunywa sana kuliko IST. Kauli hiz zimenibakisha na maswali mengi sana kichwan had nashindwa kuelewa...
Hivi ni kwel premio yenye 1498cc inakunywa sana kuliko Ist ya 1498cc?

Lakin pia naomba nipate ushaur kutoka kwenu, ipi ni gar ambayo itamfaa mama kwa shughuli za kwenda kutembelea ndugu na jamaa?

Naomba nipate mawazo kutoka kwenu.
Asanteni.
Ist is better for many things.
 
Ushauri wangu mchulie IST au gari yoyote ambayo ni hatchback, wamama ni watu wa kubeba beba sana vimizigo, hasa kupita pita sokoni na magengeni.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom