kama shida yake ni Bachelor mwambie akapige foundation pale OUT then anaeenda Bach tuDah hyo out ikoje au aende DIPLOMA .akapige education?
Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
Chuo kikuu anaenda Ila awe tayar kusoma course yoyote ya ajabu ajabuNdugu samahani,najua mko bize na kutafuta mkate wa siku! Nilikua naomba ushauri wenu baada ya matokeo kutoka Mdogo wangu yeye amepata kama ifuatavyo katika tahasusi yake ya CBG.
GS.D .CHEM . E BIOS .E NA GEO. D BAM F.
DIVISON 3 YA 14.
Je, ningependa mnishauri akasomee kitu gani? Na je, anaweza kupata nafasi ya chuo kikuu kweli kwa hapa Tanzania private hasa hasa maana kwa ufaulu ninavouona sidhani kama kwa serikali anaweza kutoboa. Natanguliza shukurani.
NB: Vyuo gani anaweza kujaribu kuomba?
Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app


kwa muongozo wa TCU hapati hata sociology...Chuo kikuu anaenda Ila awe tayar kusoma course yoyote ya ajabu ajabu![]()

Kwanini hataki kuisikia?Daah,braza angu hii kitu hataki kuisikia kabisa.Ndo wale wanao tamani kuunguza vyeti.
Uhasibu degree ifm.
Toa neno meneja wa makampuni
Ushauri mzuri.Aanze diploma, vyuo vya uhasibu ni vyuo vikuu kabisa, kuna CBE, IFM, TIA, MZUMBE, n.k
Kasomea niniKakaa mtaani muda mrefu. Vyeti vyake havifanyi kazi.
Sema ada zake huwa sio za kitoto aisee! hapo kumbuka anakua anajigharamia kila kitu na huyu mtoto wa kike mambo ya chuo unayajua aisee! ngoja kwanza tujipange hii pia ni aidea nzuri.Aanze diploma, vyuo vya uhasibu ni vyuo vikuu kabisa, kuna CBE, IFM, TIA, MZUMBE, n.k
Mifugo kwa mdada mkuu inamfaa?Aombe mifugo pale SUA, akimaliza diploma anaweza kujiajiri
yeye anataka kwenda bachelor ndio sema ndio kama hivokama shida yake ni Bachelor mwambie akapige foundation pale OUT then anaeenda Bach tu
@hahahaha ndio naitaka hiyo na chuo.Chuo kikuu anaenda Ila awe tayar kusoma course yoyote ya ajabu ajabu![]()
Ngoja ajaribu jordan,makumila,cbe,green bird ,st john,Marian universty,st mathew .kwa muongozo wa TCU hapati hata sociology...![]()
hahaahaaahaahaahampeleke uvccm maaana kule hata ukiwa na 0 utapewa kazi
Kwani si kahitimu form six, au kahitimu form four? Kama kahitimu form four mpelekeni advance akakue.Sema ada zake huwa sio za kitoto aisee! hapo kumbuka anakua anajigharamia kila kitu na huyu mtoto wa kike mambo ya chuo unayajua aisee! ngoja kwanza tujipange hii pia ni aidea nzuri.
Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
haiwezekani coz tcu ndio watakao approve sio chuo kaka awezi pita kwenye mchujo wa TCUNa mimi nahisi hivo sema nimesikia eti akiomba vyuo kama CBE anachukuliwa.!?
Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
ni kama wewe ndio unafikisha watu mbali kimaishaNajua wengi watakushauri mara akosemee unesi mara utabibu. Chukua ushauri huu, mpeleke akasomee uhasibu atafika mbali zaidi kielimu na kimaisha kwa muda mfupi. Nikiwa namaana kwamba hizo kozi nyingine za wito, sijui atakua analipwa sh. ngapi😂😂😂😂
Wanaoajiriwa saivi wengi diploma bachelor unakuta wachache wanahitajika kwa ushahidi angalia majina yaliyotoka hivi karibuni .Dah hyo out ikoje au aende DIPLOMA .akapige education?
Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
Bongo lala huyo kiazi hakuna chuo atapata labda indiaNdugu samahani,najua mko bize na kutafuta mkate wa siku! Nilikua naomba ushauri wenu baada ya matokeo kutoka Mdogo wangu yeye amepata kama ifuatavyo katika tahasusi yake ya CBG.
GS.D .CHEM . E BIOS .E NA GEO. D BAM F.
DIVISON 3 YA 14.
Je, ningependa mnishauri akasomee kitu gani? Na je, anaweza kupata nafasi ya chuo kikuu kweli kwa hapa Tanzania private hasa hasa maana kwa ufaulu ninavouona sidhani kama kwa serikali anaweza kutoboa. Natanguliza shukurani.
NB: Vyuo gani anaweza kujaribu kuomba?
Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app