Naomba ushauri: Baada ya kufanya kazi miaka 10 bila mafanikio ya kueleweka, nataka kustaafu kwa hiari na kisha kufanya shughuli binafsi

koba lee

JF-Expert Member
Sep 29, 2016
964
1,552
Natumaini mu wazima tukiwa tunaendelea na ujenzi wa taifa letu pendwa.

Nijikite moja kwa moja katika mada, mimi ni muajiriwa katika sekta binafsi katika kampuni flani maarufu sintopenda kuitaja jina. Nimefanya kazi hapo sasa ni mwaka wa tisa nautafuta wa kumi, nikiangalia maendeleo niliyonayo katika kipindi chote hayaendani kabisa maana yake nimeona nshapoteza muda na sitaki kupoteza muda tena maana na umri unasogea.

Nikipiga mahesabu ya kiasi gani ntapata kama nikifanya hapo kazi kwa miaka kumi mingine haifiki hata milioni 30, sasa huu si upimbi wakuu?

Kwahiyo wakuu ninachofikiria kukifanya ni hiki, nikishakamilisha miaka 10 kamili naandika barua ya kustaafu kwa hiari, pesa ntakayolipwa nshapiga mahesabu haitopungua milioni kumi.

Kiasi hiki naamini nikitulia kinaweza kunisogeza mbele kimaendeleo kwa kuinvest katika biashara yoyote, kuliko kupoteza muda kutumikishwa mpaka tone la mwisho likauke.

Haya ndio mawazo yangu wakuu naombeni ushauri wenu najua humu kuna watu washapitia haya na wenye uzoefu katika hili.

Asanteni na wasilisha.
 
Acha KAZI kama zuzu ufunzwe adabu na dunia.

The world owes you nothing.

Huwezi kuacha kazi ndio ufanye biashara. Biashara zina trial and errors.

Wakati huu ukiwa kazini ndio wakati sahihi wa wewe kujaribu kila idea ya biashara unayodhani inakufaa.

Ukiona inayokufaa na ina uwezo wa kuzalisha kuliko mshahara wako, hapo katukane hata boss wako.

Kama huna uwezo wa kuzalisha pesa kuliko msharaha wako, wewe bado ni mtumwa wa boss wako FANYA KAZI.

Kumbuka, ukianzisha biashara hutakiwi kuitegemea kuishi mpaja pale itakaposimama. Na hata kama ikisimama unapaswa kunilipa msharaha kulingana na mwenendo wa biashara yako.

Sasa wewe ACHA KAZI, Fungua biashara unayoifikiria (wakati huo hina kipato kingine) kwenye hiyo hiyo biashara ambayo haijaanza kuleta faida, KULA, LIPA KODI, HONGA, KUNYWA BIA.

Halafu utaona maisha yatakavyokunyoosha huku ukiwa unajifucha kila ukikutana staff uliokuwa unafanya nao kazi.

Note: Kama hata hiyo 10M unayosema utapata ni ya MAFAO unaweza usiipate pia (CCM oyee).

Kwa kawaida wanaojiuzulu kazi hawapewi mafao labda uwe miaka 55.

Kila la kheri.
 
Acha KAZI kama zuzu ufunzwe adabu na dunia.

The world owes you nothing.

Huwezi kuacha kazi ndio ufanye biashara. Biashara zina trial and errors.

Wakati huu ukiwa kazini ndio wakati sahihi wa wewe kujaribu kila idea ya biashara unayodhani inakufaa.

Ukiona inayokufaa na ina uwezo wa kuzalisha kuliko msharaha wako, hapo katukane hata boss wako.

Kama huna uwezo wa kuzalisha pesa kuliko msharaha wako, wewe bado ni mtumwa wa boss wako FANYA KAZI.

Kumbuka, ukianzisha biashara hutakiwi kuitegemea kuishi mpaja pale itakaposimama. Na hata kama ikisimama unapaswa kunilipa msharaha kulingana na mwenendo wa biashara yako.

Sasa wewe ACHA KAZI, Fungua biashara unayoifikiria (wakati huo hina kipato kingine) kwenye hiyo hiyo biashara ambayo haijaanza kuleta faida, KULA, LIPA KODI, HONGA, KUNYWA BIA.

Halafu utaona maisha yatakavyokunyoosha huku ukiwa unajifucha kila ukikutana staff uliokuwa unafanya nao kazi.

Note: Kama hata hiyo 10M unayosema utapata ni ya MAFAO unaweza usiipate pia (CCM oyee).

Kwa kawaida wanaojiuzulu kazi hawapewi mafao labda uwe miaka 55.

Kila la kheri.
Asante kwa ushauri mkuu kuna kitu au vitu nimepata kutoka kwako.
 
Acha KAZI kama zuzu ufunzwe adabu na dunia.

The world owes you nothing.

Huwezi kuacha kazi ndio ufanye biashara. Biashara zina trial and errors.

Wakati huu ukiwa kazini ndio wakati sahihi wa wewe kujaribu kila idea ya biashara unayodhani inakufaa.

Ukiona inayokufaa na ina uwezo wa kuzalisha kuliko mshahara wako, hapo katukane hata boss wako.

Kama huna uwezo wa kuzalisha pesa kuliko msharaha wako, wewe bado ni mtumwa wa boss wako FANYA KAZI.

Kumbuka, ukianzisha biashara hutakiwi kuitegemea kuishi mpaja pale itakaposimama. Na hata kama ikisimama unapaswa kunilipa msharaha kulingana na mwenendo wa biashara yako.

Sasa wewe ACHA KAZI, Fungua biashara unayoifikiria (wakati huo hina kipato kingine) kwenye hiyo hiyo biashara ambayo haijaanza kuleta faida, KULA, LIPA KODI, HONGA, KUNYWA BIA.

Halafu utaona maisha yatakavyokunyoosha huku ukiwa unajifucha kila ukikutana staff uliokuwa unafanya nao kazi.

Note: Kama hata hiyo 10M unayosema utapata ni ya MAFAO unaweza usiipate pia (CCM oyee).

Kwa kawaida wanaojiuzulu kazi hawapewi mafao labda uwe miaka 55.

Kila la kheri.
Umesema vyema ila umemtisha sana,kuajiriwa sio kuzuri hata kidogo,huna uhuru wako wala wa kutumia pesa yako

Nnachomshauri afuate maamuzi yake kwa kutumia busara nyingi,sikushauri uendelee kuajiriwa.

Wengi wanawaza ajira na waliomo wanaogopa kuziacha kwakua tu wameenda shule.

Kujiajiri ni kuzuri sana mkuu

Hakuna ajira nzuri na hakuna tajiri mwajiriwa
 
Biashara sio nyepesi hasa nyakati hizi ambapo uchumi wa nchi yetu hautabiriki na uwezo wa watu kiuchumi umeshuka. Ni vema ukatafakari kwa umakini na ukapanga matumizi ya kipato chako vizuri ili upate mtaji wa kuanzisha shughuli nyengine ya kukuongezea kipato ukiwa kazini.

Kama utafanya hivyo utakuwa umeongeza vyanzo vyako vya mapato, ajira na biashara, kama utaacha utabaki na chanzo kimoja ambacho hadi kije kijiendeshe kwa faida itachukua muda mrefu sana.

Kumbuka katika biashara 10 zinanazofunguliawa ni 2 tu ndo huweza kujienda kwa faida na hudumu kwa muda mrefu, zilizobaki hudumu kwa miaka michache na nyingi hufa bila ya kutengeneza faida iliyotarajiwa. Usiache kazi.
 
Umesema vyema ila umemtisha sana,kuajiriwa sio kuzuri hata kidogo,huna uhuru wako wala wa kutumia pesa yako
Nnachomshauri afuate maamuzi yake kwa kutumia busara nyingi,sikushauri uendelee kuajiriwa.
Wengi wanawaza ajira na waliomo wanaogopa kuziacha kwakua tu wameenda shule .
Kujiajiri ni kuzuri sana mkuu,
Hakuna ajira nzuri na hakuna tajiri mwajiriwa•
Wewe umejiajiri?
 
Anza biashara ukiwa kazini mdogo mdogo ukisimama uache, hafu Zama hizi maelfu wamefunga biashara zao wewe wa acha kaxi?
Halafu jifunze kwa hicho kidogo unachopata ukiwekeze
 
Mimi nilikuwa kampuni binafsi wakanipunguza nikalipwa milioni 100.Lakini baada ya mwaka mmoja wakanirudisha tena na sikukataa hata kidogo.
Wewe hela ambayo hata IST hainunui unaingia kutaka ushauri humu?.Mimi pamoja na kupata hizo hela bado zipo lakini nimerudi tena kazini kusaka zingine.
Anyway rafiki yangu sifanyi hivyo kuji mwambafy ila ni kukupa ushauri usije juta.Biashara au shughuli yeyote unainza taratibu bado ukiwa kwenye hiyo ajira yako unayoidharau.Ukiamua kutoka sio mbaya lakini unakuwa umeshapata uzoefu wa kutosha usijiingize kichwa kichwa kwa kusikiliza ushauri wa watu utakuja juta.Kama una mke mchakarikaji anayejua kutafuta ni nini mtumie huyo mke muda huu ukiwa kazini na usiwazie biashara za profit margin 100% kama wasomi wengi wanavyowazia.
Mtu asikudanganye kazi ni nzuri sana kama huna mpango wa kando.Kazi ndio inakufanya ukienda kwa mangi kukopa unga unapewa,kazi ndio inafanya watoto wako watibiwe above all my brother a job is not all about salary take care.
Kitu kingine petty bussinees wasomi tunaozidharau ndio zinalipa kuliko eti msomi wa chuo kikuu unasubiri laki tisa kwa mwezi kabla hazijakatwa.
Kama uko dar mfungulie shemeji kijiwe cha kukaanga chips uza soda na maji tafuta centre nzuri kwa mwezi lete mrejesho shemeji na wewe nani kaleta zaidi.Kitu kingine nikuase ndugu yangu sio kila kitu alichofanya flani akafanikiwa ni lazima wewe ufanikiwe kila mtu ana nyota yake.Jamaa mmoja kapata mafao yake kadanganywa akanunue ng'ombe kisha awanenepeshe auze wale ng'ombe kawaleta zizini ukaja ugonjwa wa ajabu ngombe wote wakafa kumbe alikuwa hajui kuwa hata ngombe naye anatibiwa kama binadamu alimuiga jamaa ambaye yeye ndio shughuli yake miaka na miaka
 
Natumaini mu wazima tukiwa tunaendelea na ujenzi wa taifa letu pendwa.

Nijikite moja kwa moja katika mada, mimi ni muajiriwa katika sekta binafsi katika kampuni flani maarufu sintopenda kuitaja jina. Nimefanya kazi hapo sasa ni mwaka wa tisa nautafuta wa kumi, nikiangalia maendeleo niliyonayo katika kipindi chote hayaendani kabisa maana yake nimeona nshapoteza muda na sitaki kupoteza muda tena maana na umri unasogea.

Nikipiga mahesabu ya kiasi gani ntapata kama nikifanya hapo kazi kwa miaka kumi mingine haifiki hata milioni 30, sasa huu si upimbi wakuu?

Kwahiyo wakuu ninachofikiria kukifanya ni hiki, nikishakamilisha miaka 10 kamili naandika barua ya kustaafu kwa hiari, pesa ntakayolipwa nshapiga mahesabu haitopungua milioni kumi.

Kiasi hiki naamini nikitulia kinaweza kunisogeza mbele kimaendeleo kwa kuinvest katika biashara yoyote, kuliko kupoteza muda kutumikishwa mpaka tone la mwisho likauke.

Haya ndio mawazo yangu wakuu naombeni ushauri wenu najua humu kuna watu washapitia haya na wenye uzoefu katika hili.

Asanteni na wasilisha.

Usithubutu, ngoja mi 4 iishe, kwa sasa Sio mda wa kuacha ajira, nimefanya biashara toka ni graduate Chuo, and it has been very successful, huu Sio mda wa kujaribu biashara!
 
Umesema vyema ila umemtisha sana,kuajiriwa sio kuzuri hata kidogo,huna uhuru wako wala wa kutumia pesa yako

Nnachomshauri afuate maamuzi yake kwa kutumia busara nyingi,sikushauri uendelee kuajiriwa.

Wengi wanawaza ajira na waliomo wanaogopa kuziacha kwakua tu wameenda shule.

Kujiajiri ni kuzuri sana mkuu

Hakuna ajira nzuri na hakuna tajiri mwajiriwa
Ni kweli mkuu,ndo maana nimeomba ushauri kutoka kwenu ili nijue nini cha kufanya kabla ya kufanya maamuzi yoyote.
 
Back
Top Bottom