“Naomba uje unisukume”✔

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi, kwenda kufungua mlango
akamkuta jamaa kalewa sana akiwa kasimama mlangoni kwao


JAMAA: Nini tena mheshimiwa kuamshana saa hizi?


MLEVI: Naomba uje unisukume.


Jamaa akiamini kuwa pengine kuna gari la huyu mlevi limezima jirani akamwambia subiri nikavae viatu. Baada ya kuvaa viatu akatoka na wakaanza kusindikizana na mlevi.

Mlevi akaongoza njia
mpaka kwenye mabembea ya jirani akakaa kwenye bembea moja na kumgeukia jamaa na kumwambia.

Okay nisukume basi…
Upuuz wa masud kipanya
 
Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi, kwenda kufungua mlango
akamkuta jamaa kalewa sana akiwa kasimama mlangoni kwao


JAMAA: Nini tena mheshimiwa kuamshana saa hizi?


MLEVI: Naomba uje unisukume.


Jamaa akiamini kuwa pengine kuna gari la huyu mlevi limezima jirani akamwambia subiri nikavae viatu. Baada ya kuvaa viatu akatoka na wakaanza kusindikizana na mlevi.

Mlevi akaongoza njia
mpaka kwenye mabembea ya jirani akakaa kwenye bembea moja na kumgeukia jamaa na kumwambia.

Okay nisukume basi…
Upuuz wa masud kipanya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom