Hamna ukweli
Je kuna ukweli wowote?
Mwanaume ukiwa SOFT yaan NDIO kila kitu NDIO unafanywa Fala.
Kuna ukweli lakiniHumans are complicated and there is always an exception to the rule..., Ushauri mchukulie mtu kama yeye alivyo na sio kutumia Kanuni zinazotumika kwa Asha ukazipeleka kwa Halima au Chausiku...
Hivi Gentleman ni nini ?Mwanaume ukiwa SOFT yaan NDIO kila kitu NDIO unafanywa Fala.
Utaburuzwa kwenye Maamuzi..
Utaburuzwa kihisia..
Utaburuzwa Financially..
Utaburuzwa Kijamii na Kiakili.
Pia jitahidi sana uwe Gentleman kwa MKEO na si kwa kila MWANAMKE.
Ujentomani una tafsiri nyingi... na una level zake.Hivi Gentleman ni nini ?
Na kama naturally wewe ni well behaved and honorable yaani ujibadilishe tu ili uweze ku-get laid ? Nadhani busara ni just be yourself, usijifanye mwingine sababu ya mtu mwingine (hapo hakuna unayemkomoa sababu acting takes its toll rather than being real)
Point yangu just be yourself no matter the definition (lakini mimi kama mwanajamii ambaye naishi karibu na mwanajamii mwenzangu..., I had rather be with a honorable well behaved person....Ujentomani una tafsiri nyingi... na una level zake.
Ndio hapo naposema kama ninahitaji kitabu ili niweze kuishi mimi kama mimi nadhani hapo takuwa najibadilisha na kujiforce kuwa kama matakwa ya mwingine na sio naturally what's comes easier to me (and that's hard work)...;Kuna kitabu fulani hivi kinachohusu Alpha Male's.. kinafundisha ni namna gani Mwanaume unapaswa kuwa.
Ujentomani una tafsiri nyingi... na una level zake.
Kuna kitabu fulani hivi kinachohusu Alpha Male's.. kinafundisha ni namna gani Mwanaume unapaswa kuwa.
Hivyo sijavisoma.. ila nampango wa kuvisoma.
Hapana...Point yangu just be yourself no matter the definition (lakini mimi kama mwanajamii ambaye naishi karibu na mwanajamii mwenzangu..., I had rather be with a honorable well behaved person....
Ndio hapo naposema kama ninahitaji kitabu ili niweze kuishi mimi kama mimi nadhani hapo takuwa najibadilisha na kujiforce kuwa kama matakwa ya mwingine na sio naturally what's comes easier to me (and that's hard work)...;
Unaongelea alpha male's there was a time wakati wa hunters and gathers bila kuwa the main man usingeweza kupata hapa mke wala kuwa laid..., now things have changed kuna viwezeshi vingi and you might be a turn-off to each and everyone and still get laid (after all we are in the times of friends with benefits era) Quid Pro Qou (Does not matter what Pro you get for your Quid.... (If you get my drift).....
Shukrani sanaHivyo sijavisoma.. ila nampango wa kuvisoma.
Nilichokisoma Mwandishi ni mhindi.. ni hardcopy ntakipiga picha.
Kila dakika tunajifunza ila haimaanishi sababu mafunzo / perceived goodness kwa jamii ni kitu fulani basi watu wote tutakuwa hicho kitu..., Case in Point the alpha maleness au labda mwanaume anahitaji kuwa mkali au hata kumpiga mwananmke (kwa case ya wakurya) ilikuwa the order of the day at a certain point in time sasa mtu ambaye deep down yeye ni caring abadilike ili tu aendane na norm ?!!!Hapana...
Duniani tuna mengi sana ya Kujifunza.
Na Elimu inabadirisha sana mtu na inamfanya awe bora zaidi.
Nasoma vitu always ila sisomi vitu sababu ni be it end all..., nasoma vitu kupata different point of views sababu najua kwamba people and circumstances are different, cultures are different and someone's meat is another ones poison.. Nikienda Japan huenda nikipata partner atakuwa anapiga mpaka magoti, ila kwangu mimi taona ananizingua.., wengine they perceive roughness with being macho, wengine wanakuona wewe una-belong kwenye dark ages..., Yes kwa kusoma kwangu nitajua how to act in Japan au Caribbean lakini haimaanishi nitasuka dreads na kuanza kuongea Patwa...Hivyo ktk Maisha jitahidi sana kusoma vitu mbalimbali ambavyo vitajenga TABIA yako.
Kuna mtu amesema tabia ni fully genetic ? Ingawa unaweza ukawa na tabia fulani sababu ya genes zako, mfano kama umbo lako ni dogo na umekuwa bullied na kudharauriwa tangia mdogo lazima utakuwa na defensive traits.., kwahio huenda maisha yakakufundisho kuliko kubishana na watu wapuuze tu (that's will be better kuliko kujaribu kuwa-convince kwamba your better, its not worth your time cause in the end they might not necessarily appreciate itMie Tabia zangu zimejengwa na Elimu niliyonayo na sio vinasaba nilivyo navyo.
Hasira ni negativity ambayo ni harmful kwako kuliko hata kwa mwingine.., na nadhani hizo ni ways za kuondoa hasira which might work for majority and not for all, best way is to find what will work for you na sio what worked for Abdallah; in the end what's works for me ni kupuuza some of the things and taking it easy.... while taking wisdom from these wise words..... serenity to accept the things I cannot change, the courage to change the things I can, and the wisdom to know the difference.Mfn ukiwa mtu wa hasira kuna mafundisho yapo ya kubadiri huo mfumo uliopo ktk hisia zako.
What is change and what is better ? Ukishajua kwamba change is for the better or worse na definition ya better ni subjective basi huenda wewe unapotaka mtu aende sababu unadhani ni better kwake yeye kwake sio better na ni shida na akienda huko atakuwa ana-live a lie ili tu kufurahisha UMMASisi Binadam ni kama Machine zenye Hardware and Software. Software inakuwa updated mara kwa mara ili kufanikisha ufanisi wa hali ya juu kuliko ule wa Mwanzo.