ChampN199
Member
- Jul 5, 2021
- 21
- 44
Habari wana JF ninaomba kuuliza kwa kujua je nitaruhusika kufanya mtihani wa Advance kama ikiwa kwenye matokeo yangu ya O level nina
PHYSICS-D
HISABATI-C
ENGLISH L-C
HISTORY-D
CHEMISTRY-C
CIVICS-D
GEOGRAPHY-D
KISW -C
BIOS- D
Comb nnayotaka kuisoma itakuwa CCD , Je naweza kuruhusiwa kufanya pepa ? Nimemaliza O level mwaka 2013.
Msaada tafadhali
PHYSICS-D
HISABATI-C
ENGLISH L-C
HISTORY-D
CHEMISTRY-C
CIVICS-D
GEOGRAPHY-D
KISW -C
BIOS- D
Comb nnayotaka kuisoma itakuwa CCD , Je naweza kuruhusiwa kufanya pepa ? Nimemaliza O level mwaka 2013.
Msaada tafadhali