Stratroni kimario
Member
- Oct 10, 2023
- 26
- 42
Habarini, nina swali nimemaliza clinical medicine mwaka huu nina GPA ya Tano. Nataka kujiendeleza MD bahati mbaya nafasi za MD Serikalini kumejaa na private siwezi kumudu ada, nauliza mwakani nikiapply naweza kupata chuo kama MUHAS na kuhusu mkopo kuna uwezekano wa kupata?
O level nina dv 2 ya 21 phy D, chem C , bios C na maths D .
O level nina dv 2 ya 21 phy D, chem C , bios C na maths D .