bokilo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 498
- 968
Wakuu kwema?
Naomba kujua mishahara wanalipaje kwenye hiki kiwanda cha kneelkanth cha chokaa maana kuna jamaa wa Facebook ananiitia kazi kule sasa kila nikimwomba taarifa zaidi hanipi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kujua mishahara wanalipaje kwenye hiki kiwanda cha kneelkanth cha chokaa maana kuna jamaa wa Facebook ananiitia kazi kule sasa kila nikimwomba taarifa zaidi hanipi.
Sent using Jamii Forums mobile app