Pezzonovante
JF-Expert Member
- May 1, 2008
- 638
- 41
Wana jamii naomba mnisaidie hapo kwani namini nchini kwetu inawezekana kabisa tumemchukua dobi tukamleka jikoni na mpishi akapelekwa kufua nguo wanazuoni,wanajamii bila kuwasahau wanawamajumui ebu toeni mchango.