Naomba tofauti ya activist na politician

Pezzonovante

JF-Expert Member
May 1, 2008
638
41
Wana jamii naomba mnisaidie hapo kwani namini nchini kwetu inawezekana kabisa tumemchukua dobi tukamleka jikoni na mpishi akapelekwa kufua nguo wanazuoni,wanajamii bila kuwasahau wanawamajumui ebu toeni mchango.
 
1. MWANAHARAKATI;hana nia ya kupata ubunge,udiwani wala cheo chochote KISIASA lakini POLITICIAN lengo lake ni kupata ivyo vyeo/nafasi

2. MWANAHARAKATI;lengo lake kubwa ni kuikosoa serikali na kuisemea jamii kwa serikali nini inataka LAKIN POLITICIAN lengo lake si kuipundua/iitoe serikali kwa hayo mabaya atakayokosoa

3. MWANAHARAKATI;hana posho/ruzuku bt POLITICIAN have t

4. MWANAHARAKATI;they come n go accordingly to matukio/needs LAKIN POLITICIAN yeye yupo tu anaweza kuwa kwenye chama tangu mwaka 1977 mpk 2011 mpk lengo lake la kugombea kupata post aliyoidream itokee

5. MWANAHARAKATI ;mara nyingi anakuwa sio KILAZA lakin POLITICIAN wengi wanakuwa vilaza/elimu nehiii ili mradi tu awe anajua kupiga domo/anajua kupika majungu na kaushirikina kdg plus na umalaya wa kuchukua wake/waume za watu basi we ni mwanasiasa bora

6. MWANAHARAKATI; yupo up to date ,anasoma mavitabu,imtandao mara nyingi,anasoma majarida ,anahudhuria mikutano na makongamano yenye tija na siyo mvivu wa kufikiri LAKINI MWANASIASA yeye han uo mda wa kusoma wala kuperuzi what new yeye mda wake wote ni wakutafuta wabaya wake/wasaliti wake na kwenda kwa waganga (since hawajiamini awa mbuz)

7. MWANAHARAKATI ;anakuwa yupo karibu na wananchi kusikliliza shda /needs zao lakin mwanasiasa hana mda wa kukaa na wananchi yeye mda anao wa kukaa na WAMAMA WA BARABANI..(NYERERE atumiii neno changudoa utamsikia tu akisema ..yule bwana alikamatwa na mamammoja wa barabarani...)

8. MWANAHARAKAT ;ANAPENDA HAKI wakat POLIRTICIAN hapend wala hataki kusikia kitu haki ndo mana wanajipangia posho kuubwa wakat kule namtumbo hawana ata zahanat

9. MWANAHARAKATI;hazai ovyo kila mtaa ana mtoto LAKIN POLITICIAN kila mtaa ana mtoto,ana mke

10. MWANAHARAKATI;sio mnafiki,mzandiki lakin politician ni wanafiki na wazandiki

NOTE;
unaweza kuwa mwanasiasa na mwanaharakat at the samae time...kwa mifano apo juu najua ushawajua akina nani ni wanasiasa na wanaharakat kwa pamoja na akina nani ni WANASIASA TOTALLY..IN grand total..!!!!!

nawasilisha ..naenda kutwanga kisamvu mie nkapike kwa raha zangu..m kitchen activist..n u? wu r u?

pamoko.
 
1. MWANAHARAKATI;hana nia ya kupata ubunge,udiwani wala cheo chochote KISIASA lakini POLITICIAN lengo lake ni kupata ivyo vyeo/nafasi

2. MWANAHARAKATI;lengo lake kubwa ni kuikosoa serikali na kuisemea jamii kwa serikali nini inataka LAKIN POLITICIAN lengo lake si kuipundua/iitoe serikali kwa hayo mabaya atakayokosoa

3. MWANAHARAKATI;hana posho/ruzuku bt POLITICIAN have t

4. MWANAHARAKATI;they come n go accordingly to matukio/needs LAKIN POLITICIAN yeye yupo tu anaweza kuwa kwenye chama tangu mwaka 1977 mpk 2011 mpk lengo lake la kugombea kupata post aliyoidream itokee

5. MWANAHARAKATI ;mara nyingi anakuwa sio KILAZA lakin POLITICIAN wengi wanakuwa vilaza/elimu nehiii ili mradi tu awe anajua kupiga domo/anajua kupika majungu na kaushirikina kdg plus na umalaya wa kuchukua wake/waume za watu basi we ni mwanasiasa bora

6. MWANAHARAKATI; yupo up to date ,anasoma mavitabu,imtandao mara nyingi,anasoma majarida ,anahudhuria mikutano na makongamano yenye tija na siyo mvivu wa kufikiri LAKINI MWANASIASA yeye han uo mda wa kusoma wala kuperuzi what new yeye mda wake wote ni wakutafuta wabaya wake/wasaliti wake na kwenda kwa waganga (since hawajiamini awa mbuz)

7. MWANAHARAKATI ;anakuwa yupo karibu na wananchi kusikliliza shda /needs zao lakin mwanasiasa hana mda wa kukaa na wananchi yeye mda anao wa kukaa na WAMAMA WA BARABANI..(NYERERE atumiii neno changudoa utamsikia tu akisema ..yule bwana alikamatwa na mamammoja wa barabarani...)

8. MWANAHARAKAT ;ANAPENDA HAKI wakat POLIRTICIAN hapend wala hataki kusikia kitu haki ndo mana wanajipangia posho kuubwa wakat kule namtumbo hawana ata zahanat

9. MWANAHARAKATI;hazai ovyo kila mtaa ana mtoto LAKIN POLITICIAN kila mtaa ana mtoto,ana mke

10. MWANAHARAKATI;sio mnafiki,mzandiki lakin politician ni wanafiki na wazandiki

NOTE;
unaweza kuwa mwanasiasa na mwanaharakat at the samae time...kwa mifano apo juu najua ushawajua akina nani ni wanasiasa na wanaharakat kwa pamoja na akina nani ni WANASIASA TOTALLY..IN grand total..!!!!!

nawasilisha ..naenda kutwanga kisamvu mie nkapike kwa raha zangu..m kitchen activist..n u? wu r u?

pamoko.


Rose

Umesema yote niliyotaka kuyasema. Asante!
 
Wana jamii naomba mnisaidie hapo kwani namini nchini kwetu inawezekana kabisa tumemchukua dobi tukamleka jikoni na mpishi akapelekwa kufua nguo wanazuoni,wanajamii bila kuwasahau wanawamajumui ebu toeni mchango.

Mwanaharakati ni kama Tundu Lissu.
 
mwanaharakati anaweza kuwa mwanasiasa, ila mwanasiasa hawezi kuwa mwanaharakati....
 
Activist=Mwanaharakati
Ni mtu yeyote anayejitolea kupigania na kutetea jambo fulani katika jamii liwepo au lisiwepo, kuna wanaharakati wa kutetea adhabu ya kifo iondolewe, haki za watoto, kutetea ushoga, mazingira nk

Politician=Mwanasiasa
Ni mtu yeyote anayejishughulisha na siasa,na siasa ni kazi na inafanywa kwa lengo la kutawala

Hivyo basi mtu yeyote anaweza kuwa mwanasiasa na pia mtu yeyote anaweza kuwa mwanaharakati
 
Activist=Mwanaharakati
Ni mtu yeyote anayejitolea kupigania na kutetea jambo fulani katika jamii liwepo au lisiwepo, kuna wanaharakati wa kutetea adhabu ya kifo iondolewe, haki za watoto, kutetea ushoga, mazingira nk

Politician=Mwanasiasa
Ni mtu yeyote anayejishughulisha na siasa,na siasa ni kazi na inafanywa kwa lengo la kutawala

Hivyo basi mtu yeyote anaweza kuwa mwanasiasa na pia mtu yeyote anaweza kuwa mwanaharakati

Mkuu umenena.

Namuona Che Guevara kama mwanaharakati.

Kwa maana hiyo CHADEMA hakiwezi kuchukua madaraka kwa kuwa inaonekana ni kama kusanyiko la wanaharakati?
 
2. MWANAHARAKATI;lengo lake kubwa ni kuikosoa serikali na kuisemea jamii kwa serikali nini inataka LAKIN POLITICIAN lengo lake si kuipundua/iitoe serikali kwa hayo mabaya atakayokosoa

5. MWANAHARAKATI ;mara nyingi anakuwa sio KILAZA lakin POLITICIAN wengi wanakuwa vilaza/elimu nehiii ili mradi tu awe anajua kupiga domo/anajua kupika majungu na kaushirikina kdg plus na umalaya wa kuchukua wake/waume za watu basi we ni mwanasiasa bora

6. MWANAHARAKATI; yupo up to date ,anasoma mavitabu,imtandao mara nyingi,anasoma majarida ,anahudhuria mikutano na makongamano yenye tija na siyo mvivu wa kufikiri LAKINI MWANASIASA yeye han uo mda wa kusoma wala kuperuzi what new yeye mda wake wote ni wakutafuta wabaya wake/wasaliti wake na kwenda kwa waganga (since hawajiamini awa mbuz)

8. MWANAHARAKAT ;ANAPENDA HAKI wakat POLIRTICIAN hapend wala hataki kusikia kitu haki ndo mana wanajipangia posho kuubwa wakat kule namtumbo hawana ata zahanat

9. MWANAHARAKATI;hazai ovyo kila mtaa ana mtoto LAKIN POLITICIAN kila mtaa ana mtoto,ana mke

NOTE;
unaweza kuwa mwanasiasa na mwanaharakat at the samae time...kwa mifano apo juu najua ushawajua akina nani ni wanasiasa na wanaharakat kwa pamoja na akina nani ni WANASIASA TOTALLY..IN grand total..!!!!!

nawasilisha ..naenda kutwanga kisamvu mie nkapike kwa raha zangu..m kitchen activist..n u? wu r u?

pamoko.
Kwa maelezo yako unaonyesha unamjua vizuri sana mwasiasa lakini napata mashaka kama unamfahamu vizuri mwanaharakati ni nani.
Kuna wanaharakati duniani wanatetea vitu vya ajabu hata nikikuorodheshea unaweza kuanza kulia, lakini ni ma activist nao
 
Mkuu umenena.

Namuona Che Guevara kama mwanaharakati.

Kwa maana hiyo CHADEMA hakiwezi kuchukua madaraka kwa kuwa inaonekana ni kama kusanyiko la wanaharakati?
Mkuu ukizingatia na mfumo wa siasa zetu kuwa lazima upitie kwenye chama, hivyo basi CDM ni totally wanasiasa.
CDM si wanaharakati bali wanatimiza wajibu wao wa kikatiba kama chama cha siasa na lengo lao ni kuiondoa CCM madarakani ili wakae wao wafanye wanachokiamini kitatusaidia kisiasa.
Mwanaharakati ni mtu anayejitolea kupigania na kutetea jambo fulani ktk jamii liwe baya au zuri, na mara nyingi huwa hana sapoti kubwa ya kisheria zaidi ya ile ya kikatiba ya uhuru wa kuongea
CDM hawana hata sifa moja ya uwanaharakati kwakuwa wana practice siasa kwa asilimia mia moja kama mbadala wa mtawala.
Labda ndani ya CDM mtu binafsi anaweza kuwa mwanaharakati wa kitu fulani
 
1. Mwanaharakati;hana nia ya kupata ubunge,udiwani wala cheo chochote kisiasa lakini politician lengo lake ni kupata ivyo vyeo/nafasi

2. Mwanaharakati;lengo lake kubwa ni kuikosoa serikali na kuisemea jamii kwa serikali nini inataka lakin politician lengo lake si kuipundua/iitoe serikali kwa hayo mabaya atakayokosoa

3. Mwanaharakati;hana posho/ruzuku bt politician have t

4. Mwanaharakati;they come n go accordingly to matukio/needs lakin politician yeye yupo tu anaweza kuwa kwenye chama tangu mwaka 1977 mpk 2011 mpk lengo lake la kugombea kupata post aliyoidream itokee

5. Mwanaharakati ;mara nyingi anakuwa sio kilaza lakin politician wengi wanakuwa vilaza/elimu nehiii ili mradi tu awe anajua kupiga domo/anajua kupika majungu na kaushirikina kdg plus na umalaya wa kuchukua wake/waume za watu basi we ni mwanasiasa bora

6. Mwanaharakati; yupo up to date ,anasoma mavitabu,imtandao mara nyingi,anasoma majarida ,anahudhuria mikutano na makongamano yenye tija na siyo mvivu wa kufikiri lakini mwanasiasa yeye han uo mda wa kusoma wala kuperuzi what new yeye mda wake wote ni wakutafuta wabaya wake/wasaliti wake na kwenda kwa waganga (since hawajiamini awa mbuz)

7. Mwanaharakati ;anakuwa yupo karibu na wananchi kusikliliza shda /needs zao lakin mwanasiasa hana mda wa kukaa na wananchi yeye mda anao wa kukaa na wamama wa barabani..(nyerere atumiii neno changudoa utamsikia tu akisema ..yule bwana alikamatwa na mamammoja wa barabarani...)

8. Mwanaharakat ;anapenda haki wakat polirtician hapend wala hataki kusikia kitu haki ndo mana wanajipangia posho kuubwa wakat kule namtumbo hawana ata zahanat

9. Mwanaharakati;hazai ovyo kila mtaa ana mtoto lakin politician kila mtaa ana mtoto,ana mke

10. Mwanaharakati;sio mnafiki,mzandiki lakin politician ni wanafiki na wazandiki

note;
unaweza kuwa mwanasiasa na mwanaharakat at the samae time...kwa mifano apo juu najua ushawajua akina nani ni wanasiasa na wanaharakat kwa pamoja na akina nani ni wanasiasa totally..in grand total..!!!!!

Nawasilisha ..naenda kutwanga kisamvu mie nkapike kwa raha zangu..m kitchen activist..n u? Wu r u?

Pamoko.


rose asante kwa mchango wako kwa kweli si mzuri wa sura tu na akili pia tupo pamoko
 
mkuu ukizingatia na mfumo wa siasa zetu kuwa lazima upitie kwenye chama, hivyo basi cdm ni totally wanasiasa.
Cdm si wanaharakati bali wanatimiza wajibu wao wa kikatiba kama chama cha siasa na lengo lao ni kuiondoa ccm madarakani ili wakae wao wafanye wanachokiamini kitatusaidia kisiasa.
Mwanaharakati ni mtu anayejitolea kupigania na kutetea jambo fulani ktk jamii liwe baya au zuri, na mara nyingi huwa hana sapoti kubwa ya kisheria zaidi ya ile ya kikatiba ya uhuru wa kuongea
cdm hawana hata sifa moja ya uwanaharakati kwakuwa wana practice siasa kwa asilimia mia moja kama mbadala wa mtawala.
Labda ndani ya cdm mtu binafsi anaweza kuwa mwanaharakati wa kitu fulani

paulss asante kwa mawazo mazuri
 
1. MWANAHARAKATI;hana nia ya kupata ubunge,udiwani wala cheo chochote KISIASA lakini POLITICIAN lengo lake ni kupata ivyo vyeo/nafasi

2. MWANAHARAKATI;lengo lake kubwa ni kuikosoa serikali na kuisemea jamii kwa serikali nini inataka LAKIN POLITICIAN lengo lake si kuipundua/iitoe serikali kwa hayo mabaya atakayokosoa

3. MWANAHARAKATI;hana posho/ruzuku bt POLITICIAN have t

4. MWANAHARAKATI;they come n go accordingly to matukio/needs LAKIN POLITICIAN yeye yupo tu anaweza kuwa kwenye chama tangu mwaka 1977 mpk 2011 mpk lengo lake la kugombea kupata post aliyoidream itokee

5. MWANAHARAKATI ;mara nyingi anakuwa sio KILAZA lakin POLITICIAN wengi wanakuwa vilaza/elimu nehiii ili mradi tu awe anajua kupiga domo/anajua kupika majungu na kaushirikina kdg plus na umalaya wa kuchukua wake/waume za watu basi we ni mwanasiasa bora

6. MWANAHARAKATI; yupo up to date ,anasoma mavitabu,imtandao mara nyingi,anasoma majarida ,anahudhuria mikutano na makongamano yenye tija na siyo mvivu wa kufikiri LAKINI MWANASIASA yeye han uo mda wa kusoma wala kuperuzi what new yeye mda wake wote ni wakutafuta wabaya wake/wasaliti wake na kwenda kwa waganga (since hawajiamini awa mbuz)

7. MWANAHARAKATI ;anakuwa yupo karibu na wananchi kusikliliza shda /needs zao lakin mwanasiasa hana mda wa kukaa na wananchi yeye mda anao wa kukaa na WAMAMA WA BARABANI..(NYERERE atumiii neno changudoa utamsikia tu akisema ..yule bwana alikamatwa na mamammoja wa barabarani...)

8. MWANAHARAKAT ;ANAPENDA HAKI wakat POLIRTICIAN hapend wala hataki kusikia kitu haki ndo mana wanajipangia posho kuubwa wakat kule namtumbo hawana ata zahanat

9. MWANAHARAKATI;hazai ovyo kila mtaa ana mtoto LAKIN POLITICIAN kila mtaa ana mtoto,ana mke

10. MWANAHARAKATI;sio mnafiki,mzandiki lakin politician ni wanafiki na wazandiki

NOTE;
unaweza kuwa mwanasiasa na mwanaharakat at the samae time...kwa mifano apo juu najua ushawajua akina nani ni wanasiasa na wanaharakat kwa pamoja na akina nani ni WANASIASA TOTALLY..IN grand total..!!!!!

nawasilisha ..naenda kutwanga kisamvu mie nkapike kwa raha zangu..m kitchen activist..n u? wu r u?

pamoko.

darasa la ukweli,ila mwisho kama fuse zilianza kukata moto,,,bt thax
 
Naona kama nchi yetu inahitaji wanaharakati wengi kama maathai, kwani tunawasiasa uchwala wa kumwaga
 
Kwa maelezo yako unaonyesha unamjua vizuri sana mwasiasa lakini napata mashaka kama unamfahamu vizuri mwanaharakati ni nani.
Kuna wanaharakati duniani wanatetea vitu vya ajabu hata nikikuorodheshea unaweza kuanza kulia, lakini ni ma activist nao

labda nkupe darasa wewe juuu ya wanaharakati...
nawajua very well juu ya mabaya na mazuri yao in society...pia yakupasa utambue what is good n what is bad..IS RELATIVE..SO ZINGATIA ILO UKITAKA KUEPEUKA BIASNESS.....kuna wanaotetea ushoga i knw utasema i mbaya..even me naona mbaya bt some place some whre wanasema yap its good...kuja wanaotetea mapadrewaoe/mashoga wawe maaskofu...masista nao wapewe hadhi ya mapadre...waaarabu wapewe nini sjui..waklristu wapewe nin sjui...al queeda wanfanya vyema ....wengne wanasema noo..so it depend mr u.

nawajua very welllllllllllllll....
ur welcome

KWANGU NAMPENDA CHE namwona km mwanapinduzi/mwanaharakat wa ukwee...nyerere too kwangu activist wa ukweli...boby marley..walter rodney....wengi wengi wengi...even jesus so to say was ACTIVIST....niaje apo?ukikataa we mkaidi.

nawasilisha
 
Back
Top Bottom