Jay47
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 294
- 284
Mkuu naona admision yako udsm ilishindikana ndo maana una hasira nao sanaWewe ni mjinga wa kiwango cha lami. Na hapa ndipo huwa mnadhihirisha kuwa hapo UDSM ni vilaza tu wala hamna lolote kazi kujisifia ujinga tu.
Ina maana wanaosoma vyuo vingine hawakufaulu? Ina maana vyuo vingine havina wahitumu walipata division one advance?
Hivi nyie wasomi wa UDSM hata "notes" mnaita "notice" ndio mnapenda kuvimba kipumbavu namna hii?
Pole sana kaka ndivyo maisha yalivyo..
Sent using Jamii Forums mobile app