Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,424
- 15,975
aisee kwahiyo mleta mada ndio dalali mwenyewe au wale jamaa wanaomjia usiku?Madalali wa ulozi
RIP Prof. Chachange S. Chachange andiko lako bora kabisa la MAKUWADI WA SOKO HURIA pengine lilichangia mwisho wako (nimewaza tu kwa sauti) Wameua mwili lakini sio maandishi! Maandishi ni kama roho isiyokufa! Hayafutiki. Maisha hayana adabu hasa changamoto zinapokuwa nyingi kwenye upande wa...www.jamiiforums.com
Madalali wa ulozi
Hua unatokea tu wakati mwingine Yan hapo huyo mwenyekilemba chekundu ni jini mwenye asili ya kiarabu Yani bedui mwenye kiremba cheusi ni jini mwenye asili ya ukoo Yani wa baraHapana hatuna nina asili ya barbaig
Labda nisubirie episode nyingineIfuatilie mpaka mwisho kuna kitu kinajaribu kujifunua kwako kupitia ndoto
🤣 🤣 🤣 🤣huyo anayewafuata kuwachungulia ni mpiga chabo tu
Maana yake siku za hivi karibuni utaolewa na mganga wa kienyeji. Kwa hyo jipange mama. Ni mwendo wa kula kuku na mbuzi wa kafara kwa mrija.
Ntafanya hivoKama una sali muombe Mungu akuonyeshe inamaanisha Nini
Halafu soma Ayubu 33:14-16
Inanifikirisha sana!Hua unatokea tu wakati mwingine Yan hapo huyo mwenyekilemba chekundu ni jini mwenye asili ya kiarabu Yani bedui mwenye kiremba cheusi ni jini mwenye asili ya ukoo Yani wa bara
Aseee!!Utaingia katika mahusiano ambayo mwanzo yatakuwa matamu na mwisho yataingiwa na giza. Suruhu: futa namba zao haraka kichwani mwako.
Kuna mambo yenu ya asili yanayo kuandama wewe utaweza kuwa mganga wa asili siku za mbele. Hebu jaribu mababu zako kama wapo hai wataweza kukwambia kitu chakufanya. Au kama kuna mganga katika familia yenu amesha kufa akiwani babu au bibi basi ujijuwe utamrithi kwa dalili ya hiyo ndoto yako.Kama mwezi mmoja au miwili nyuma niliota nipo sehem na mwenzangu ambaye nahis alikua mwanaume ambaye cjui kama namjua au simjui ila ni kama vile alikua ananiongoza yaan anataka kunionyesha kitu ambacho aliniambia mie nikambishia kuwa hicho kitu hakiwezekan.
Kwahiyo akaniambia kama unabisha twende tukafika sehem kama kulikua nankitanda hivi akainama kidogo uvunguni mwa kitanda akanyanyuka na mie nikafanya vile vile sasa ile nanyanyuka pale uvunguni natembea hatua mbili kugeuka nyuma nikaona kuna mwanaume kavaa kilemba chekundu anatufuatilia kwa nyuma japo tumemuacha mbali kidogo lakn anaonyesha juhudi za kutukimbilia nikawa naogopa huku tunaendelea kutembea tukafika sehem kuna kama uwanja na watu wengi yule akajitokeza mtu mmoja akaniambia ukitaka huyo asiwafuatulie chukua mtama huu hapa mmwagie.
Sasa nikachukua mtama ile namumwagia hiv akaukwepa japo ulimpata kidogo kwahivo tukaendelea kutembea na tukampiga chenga pale kwenye kundi la watu! Ila tumetembea mbele kidogo mara tena nikamuona huyo katokea manake katutafuta hadi katuona ndoto ikaishia hapo.
Siki ya pili yake tena nikaota mwanaume kavaa kilemba cheusi na yeye ananifuata aah sikumbuki ndoto yake ilikuaje lakin nakumbuka tu hapo kuwa alinifata.
Sasa umepita huo muda zaid ya mwezi mmoja leo tena nimeota watu wawil wale wale mmoja kavaa kilemba chekundu na mwingne cheusi eti wamekuja pembeni ya kitanda changu halafu wakanisujudia kkaa wananiomba kitu hivi
Naombeni anayejua tafsir ya ndoto hii yenye muendelezo anisaidie maana hata sielew ni kina nan hao wanaonifuata?
Na kwanini wamefunga vilemba? Sioni sura zao vizuro lakin najua ni wanaume weusi na vilemba wamevifunga vizuri tu.
Msaada wenu tafadhali maana naogopa sana!
Aseee! Miaka 30 plus jaman kwel uganga unisogelee?Kuna mambo yenu ya asili yanayo kuandama wewe utaweza kuwa mganga wa asili siku za mbele. Hebu jaribu mababu zako kama wapo hai wataweza kukwambia kitu chakufanya. Au kama kuna mganga katika familia yenu amesha kufa akiwani babu au bibi basi ujijuwe utamrithi kwa dalili ya hiyo ndoto yako.
Habari! kwanza hongera na pole moja kati ya hizo itategemea na imani yako!Kama mwezi mmoja au miwili nyuma niliota nipo sehem na mwenzangu ambaye nahis alikua mwanaume ambaye cjui kama namjua au simjui ila ni kama vile alikua ananiongoza yaan anataka kunionyesha kitu ambacho aliniambia mie nikambishia kuwa hicho kitu hakiwezekan.
Kwahiyo akaniambia kama unabisha twende tukafika sehem kama kulikua nankitanda hivi akainama kidogo uvunguni mwa kitanda akanyanyuka na mie nikafanya vile vile sasa ile nanyanyuka pale uvunguni natembea hatua mbili kugeuka nyuma nikaona kuna mwanaume kavaa kilemba chekundu anatufuatilia kwa nyuma japo tumemuacha mbali kidogo lakn anaonyesha juhudi za kutukimbilia nikawa naogopa huku tunaendelea kutembea tukafika sehem kuna kama uwanja na watu wengi yule akajitokeza mtu mmoja akaniambia ukitaka huyo asiwafuatulie chukua mtama huu hapa mmwagie.
Sasa nikachukua mtama ile namumwagia hiv akaukwepa japo ulimpata kidogo kwahivo tukaendelea kutembea na tukampiga chenga pale kwenye kundi la watu! Ila tumetembea mbele kidogo mara tena nikamuona huyo katokea manake katutafuta hadi katuona ndoto ikaishia hapo.
Siki ya pili yake tena nikaota mwanaume kavaa kilemba cheusi na yeye ananifuata aah sikumbuki ndoto yake ilikuaje lakin nakumbuka tu hapo kuwa alinifata.
Sasa umepita huo muda zaid ya mwezi mmoja leo tena nimeota watu wawil wale wale mmoja kavaa kilemba chekundu na mwingne cheusi eti wamekuja pembeni ya kitanda changu halafu wakanisujudia kkaa wananiomba kitu hivi
Naombeni anayejua tafsir ya ndoto hii yenye muendelezo anisaidie maana hata sielew ni kina nan hao wanaonifuata?
Na kwanini wamefunga vilemba? Sioni sura zao vizuro lakin najua ni wanaume weusi na vilemba wamevifunga vizuri tu.
Msaada wenu tafadhali maana naogopa sana!
Yaan ukisikia miujiza ndiyo hii sasa mwaka huu walah khaaaMaana ya ndoto yako:
1.kuna roho za kichawi/ ugaga zinakusaka yaani unatakiwa kutumikia hizo kazi.
2. Walipokusujudia inamaana wewe ktk ulimwengu was roho utakuwa boss wao yaani utakuwa mkuu wao na wewe utakuwa unawapa order.
Kubali ili upate kuwasaidia watu na wewe ufanikiwe mambo yako. Utatajirika kwa ugangaAseee! Miaka 30 plus jaman kwel uganga unisogelee?
Hapana! Kwanza sijui kama utakua uganga kweli au uzushi tu! Pili nina mambo yangu ya kumtukuza mungu sitaki kuingiza vitu vingine! Halafu nachukia yanavyokuja kwa mafumbo kwanini yasije tu yakasema yanachotaka moja kwa moja mbona yanaanza na kunitsha?Kubali ili upate kuwasaidia watu na wewe ufanikiwe mambo yako. Utatajirika kwa uganga