Habari za asubuhi, naomba mnisaidie waungana kama kutakuwa na mtu ana uelewa na ndoto.
Ni mara kadhaa sasa nimekuwa nikiota nimeibiwa hereni zangu, nahitaji kujua maana ya hii ndoto.
Inasemwa kwamba kila ndoto mtu anayoota inakuwa na maana, naomba msaada katika hili
Asanteni.
Ni mara kadhaa sasa nimekuwa nikiota nimeibiwa hereni zangu, nahitaji kujua maana ya hii ndoto.
Inasemwa kwamba kila ndoto mtu anayoota inakuwa na maana, naomba msaada katika hili
Asanteni.