Nilikuwa napitapita kwenye mambo ya mtandao,nikakutana na ki2 moja matata sana isitoshe cha kihome home,ukitaka everything unapata nikaona bora ni jiunge,ila kwanza ni wape hi wana na wakubwa niwape haki zao.Simjuzi saaana najifunza 2 kutoka kwenu wakongwe.Usiku mwema jf