Watafuteni pia maprofesa wote Afrika tunaowapenda (tukiacha wa Tanzania) tuwaweke kwenye timu ya Acacia ya mazungumzo. Huwa tunawapenda sana, tunadhani raisi akiwaweka sio mbaya. Nawaona kama wazalendo wa bara Afrika.Huyu jamaa pia nilikuwa naomba awemo kwenye timu ya acaccia ya mazungumzo. Huwa nampenda sana, nadhani raisi akimuweka sio mbaya. Nimewaza tu.. Naona kama mzalendo wa bara la Africa.
Mbona ukawa mmekuwa wakali hivyo issue ya Acacia? Maana mwenyekiti wao kawaumbueni kabisahuyu ni tapeli tu. mambo ya watanzania mkenya anahusikaje?
Jambazi MzoefuNaomba chenge awepo kwenye hii kamati
Bora huyu akaombeKwakua wewe unampenda ndo awekwe? Mimi nampenda Sana B.W. Mkapa, awekwe na huyu.
Ha ha ha haaaaaaaaBora huyu akaombe
atengenezewe mnyororo wa dhahabu !!!
jamaa yuko vizuri. Ni nguli wa sheria za kimataifa katika biasharaWabongo wakisikia neno professor basi wanaloa huko chini yani sijui nani kawaloga! Huyo prof kuna mambo mengi tu anaendaga chaka alimsifia sana rais wa Nigeria siku izi naona kafunga bakuli simsikii akimsifia
Hizi ni akili mgando. Kwani akiwa mkenya wakti ni expert na sisi ma expert wetu wapo tatizo ni nini? Mnapenda uzalendo, wakti wazalendo wanawaliza kila sikuHuyu jamaa ni shabiki mkubwa wa Mr presidaa, hatuwez kumshirikisha kwenye mazungumzo yetu na barrick .
Yeye ni mkenya sisi ni watanzania tunamjumuishaje kwenye mazungumuzo yetu?
Ni prof prof muzuri sana yaani katika jopo La learned friends wa East Afrika hakosi
Mkuu unajua chanzo cha kutumbuliwa kwake? Au unaropoka tu!! Huyu alianza kufatilia mali za mawaziri na wale watu wakubwa wakubwa serikalini. Ndo ilikuwa tatizoHuyo Prof. Hana lolote. Alitumbuliwa PCCB ya Kenya (EACC). Njaa mbaya
Kuongea sana hakumaamishi kuwa ye ni mzalendoHuyu jamaa pia nilikuwa naomba awemo kwenye timu ya acaccia ya mazungumzo. Huwa nampenda sana, nadhani raisi akimuweka sio mbaya. Nimewaza tu.. Naona kama mzalendo wa bara la Africa.
Mtu mnafiki unamuona tu kwa kutazama sura. Sasa sura na muonekano wa huyu na lipumba nani mzalendo!?Kuongea sana hakumaamishi kuwa ye ni mzalendo
Iweje tatizo wakati ndo ilikuwa kazi yake? (Hakuwa pale kuhubiri injili ya kwenye biblia ama Kuhifadhi Quran). Swali Ni he yeye Alikuwa msafi? Maana ukianza kupekenyua ya wenzako, uwe Na ww msafi....refer to Bashite saga...sijafanikiwa kukutana Na Mkenya asiyependa Kona Kona.Mkuu unajua chanzo cha kutumbuliwa kwake? Au unaropoka tu!! Huyu alianza kufatilia mali za mawaziri na wale watu wakubwa wakubwa serikalini. Ndo ilikuwa tatizo