CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 7,621
- 16,700
Habari Wakuu.
kweli huwa unaweka huru, japo inaumiza sana. Ndugu zangu Yanga, mtatamba sana kwenye ligi yetu, mtatamba mno. Bila Simba kuongeza "Quality 4" mtaisumbua sana.
Linapokuja suala la mechi za kimataifa Yanga wataendelea kuteseka, kuumia, kukosa furaha, kujeruhiwa nk. kwa sababu zifuatazo;
1. Kumtegemea mchezaji mmoja tu kwenye safu nzima ya ushambuliaji.
Yanga inaushamba mwingi sana wa kumtegemea Fiston Mayele madegedege mzee wa kutetema, kitu ambacho kitawaumiza sana.
Eneo hili la ushambuliaji kwa Simba liliwahi kuwa na bora zifuatazo.
Ukiachana na hapa kwenye ushambuliaji Simba imekuwa na wapishi bora kama Chama, Miqque, Okrah, Phiri, n.k, wakati Yanga anayetegemewa ni Mayele tu!
KWELI MBELE MWIKO NYUMA MWIKO, MAKUNDI MTAENDELEA KUYASIKIA KWA SIMBA.
Endeleeni kupokea wageni.
Sudani 2 - 0.
kweli huwa unaweka huru, japo inaumiza sana. Ndugu zangu Yanga, mtatamba sana kwenye ligi yetu, mtatamba mno. Bila Simba kuongeza "Quality 4" mtaisumbua sana.
Linapokuja suala la mechi za kimataifa Yanga wataendelea kuteseka, kuumia, kukosa furaha, kujeruhiwa nk. kwa sababu zifuatazo;
1. Kumtegemea mchezaji mmoja tu kwenye safu nzima ya ushambuliaji.
Yanga inaushamba mwingi sana wa kumtegemea Fiston Mayele madegedege mzee wa kutetema, kitu ambacho kitawaumiza sana.
Eneo hili la ushambuliaji kwa Simba liliwahi kuwa na bora zifuatazo.
- Chris Mugalu
- Emanuel Okwi
- Medie Kagere
- John Bokko
Ukiachana na hapa kwenye ushambuliaji Simba imekuwa na wapishi bora kama Chama, Miqque, Okrah, Phiri, n.k, wakati Yanga anayetegemewa ni Mayele tu!
KWELI MBELE MWIKO NYUMA MWIKO, MAKUNDI MTAENDELEA KUYASIKIA KWA SIMBA.
Endeleeni kupokea wageni.
Sudani 2 - 0.