Naomba niwaage

Utapona, Mungu baba akusimamie vyema naamini tutajumuika sote tena.
 
Corona nn?
 
Duuh, this is very comforting, ulipmwa kabisa na kudhibitika??!
 
Na ndio maana watu hawapendi kupima pima
 
Kaka usiogope,kwani kama utaenda basi tambua hiyo ndiyo njia kuu ya peponi kama ulitenda mema,na ili upate pepo basi ni lazima ukubali,na nakutoa hofu kwani huko ni kuzuri kuliko majiji yote mazuri duniani.
Kila kitu cha huko ni kizuri mara saba ya vile vya huku,na utapata marafuki wakali kuliko huku.
company za huko ni tamu sana kaka.
Kama umebahatika kwenda,nenda tu kaka,nenda kaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…