Habari zenu wakuu,
Nilikuwa naomba mwongozo juu ya biashara ya kukopesha wajasiriamali wadogodogo kiwango cha fedha fulani.
Muongozo kwenye engo ipi??Habari zenu wakuu,
Nilikuwa naomba mwongozo juu ya biashara ya kukopesha wajasiriamali wadogodogo kiwango cha fedha fulani.
Wanakopa, ukiwadai sana wanakuuwa au wanakuloga.USITHUBUTU.
Fuata utaratibu, Peleka sera zako za uendeshaji wa hiyo Credit office yako BOT na Ufuate taratibu zote.
Utakutana na wajanja watakopa na hawalipi na wanakuburuza mahakamani na wanashinda si huna vibali.