Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,080
- 8,334
Acha uongo unachukua vp mkopo bila salary sleep na licha ya ivo kweli unafanya kazi bila kujua basic salary yko umenishangaza
Salary slip sio salary sleep
Acha uongo unachukua vp mkopo bila salary sleep na licha ya ivo kweli unafanya kazi bila kujua basic salary yko umenishangaza
Nipo kwenye bank ya ABC Nataka kuchukua mkopo sasa wanahtaji basic salary
Salary slip sio salary sleep
Binafsi nawajua walimu wa Primary yaan wako Shallow kchz ,,huyu ni kweli hajui kuisoma Salary Slip yake ngoja nimwelekeze.
Figure ya juu kulia kwako ktk Salary Slip ndiyo basic salary zinazofuatia pale chini ni figure zngne kama bima ya afya ,CWT na Kodi na figure ya mwisho kabisa ndio AMOUNT DUE yaan Net Pay au Take home nadhani ni Tsh 275000 kama umeanza kazi mwaka juzi ,jana au mwaka huu
Mie najua mishahara ya wafanyakazi wote wanaolipwa na Halmashauri yaan D.E.D kwan nafanya kazi ktk kampuni ya kubwa ya utoaji mikopo kwa wafanyakaźi ,
sishangai kukutana na Uzi huu ,ni kawaida sana
Mkuu vipi mshahara wa mtu wa degree ya ualimu take home yake ni tsh ngapi kwa walimu wapya?
Sasa si umeelewa tatizo nini
Nipo kwenye bank ya ABC Nataka kuchukua mkopo sasa wanahtaji basic salary
We huoni tatizo? Kuna watu wanajifunza spelling humu wanaweza copy hilo kosa. Umeelewa we weak?
Binafsi nawajua walimu wa Primary yaan wako Shallow kchz ,,huyu ni kweli hajui kuisoma Salary Slip yake ngoja nimwelekeze.
Figure ya juu kulia kwako ktk Salary Slip ndiyo basic salary zinazofuatia pale chini ni figure zngne kama bima ya afya ,CWT na Kodi na figure ya mwisho kabisa ndio AMOUNT DUE yaan Net Pay au Take home nadhani ni Tsh 275000 kama umeanza kazi mwaka juzi ,jana au mwaka huu
Mie najua mishahara ya wafanyakazi wote wanaolipwa na Halmashauri yaan D.E.D kwan nafanya kazi ktk kampuni ya kubwa ya utoaji mikopo kwa wafanyakaźi ,
sishangai kukutana na Uzi huu ,ni kawaida sana
Ulipataje ualimu kabla ya kujaza mkataba. Mkataba wako ungekuonesha basic yako. Je una muda gan kazini? Umeendaje benki pasipo kujua basic yako. Huwez kusema unaamuka na kwenda benki bila hata barua ya udhibitisho ya mwajiri wako? We UMEKUJA HAPA KUJUA MSHAHARA WA MWALIMU
We huoni tatizo? Kuna watu wanajifunza spelling humu wanaweza copy hilo kosa. Umeelewa we weak?