Naomba mwenye connection au anayeweza kunisaidia kupata kazi ya ULINZI, Kampuni ya SGA au G4S

Naomba mwenye connection au anayeweza kunisaidia kupata kazi ya ULINZI, Kampuni ya SGA au G4S

Mijadala Migumu

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2022
Posts
397
Reaction score
454
Habari zenu ndugu zangu, Naomba mwenye connection au anayeweza kunisaidia kupata kazi ya ULINZI, Kampuni ya SGA au G4S anisaidie ndugu zangu.

Nina miaka 29
Nina mafunzo ya JKT - Miaka miwili (volunteer).
Uwezo wa kutumia silaha.
Elimu - Shahada ya kwanza
Nazungumza Kingereza fasaha.
Uzoefu wa kazi - Mwaka mmoja.
Naweza kufanya kazi shift yoyote na mahala popote ndani ya Tanzania.
Kwa sasa napatikana Dar es salaam ndugu zangu, kwa mwenye uwezo wa kunishika mkono naomba anisaidie waungwana.
 
Mungu akusaidie...

Mungu akupambanie mkuu...

Sina uhakika kama Garda wanaajiri kipindi hiki maana walianza kufanya Redundancy...

Ila kama bado wanaajiri, nenda ofisini kwao mkuu...

Garda ni kampuni pekee utapata kazi bila connection(nakuhakikishia)
 
Jf hutapata connection yeyote ndugu yangu. Kwa mda huu jarbu upate lesen afu usichoke kwenda ofsin kwao na usiende branch moja i mean jiongeze uende hata mkoa mwingne tofauti na dar utasaidika mimi nilipata kaz after kubadilisha mkoa la sivyo vyeti vyako hutafaidika navyo. Na pia usiseme tu kuwa n ulinzi tu bali omba hata kazi ya usafi sehemu yeyote ujuane na watu mara ya mwisho utakua connected automatically. Am talking through my experience. Kuna kampun jina { } niliapply kazi ya kozi niliyosomea feedback sikupat zaid ya mara tano lakin cku moja nikaenda huko nkakutana na mkubwa wa usafi akisema watafute cashual wa kufanya usaf wa kufyeka pale pale nkamwambia i can do that na akanikubalia nkachapa cku tano wakanilipa. Cku nyngne nkaenda huko nkapewa kushusha mbolea trela mbili tuliwa weng. Sasa nikawa nimezoea yale mazingira naenda huko nakaa hapo karbu ili tu nafas yeyote ikitokea ukute nipo karibu. Ndo cku moja wakatangaza nafas ya hyo kozi yangu nikaapply ndo nkapata kazi. Lakn ati jf hii hii ya bongo
 
Habari zenu ndugu zangu, Naomba mwenye connection au anayeweza kunisaidia kupata kazi ya ULINZI, Kampuni ya SGA au G4S anisaidie ndugu zangu.

Nina miaka 29
Nina mafunzo ya JKT - Miaka miwili (volunteer).
Uwezo wa kutumia silaha.
Elimu - Shahada ya kwanza
Nazungumza Kingereza fasaha.
Uzoefu wa kazi - Mwaka mmoja.
Naweza kufanya kazi shift yoyote na mahala popote ndani ya Tanzania.
Kwa sasa napatikana Dar es salaam ndugu zangu, kwa mwenye uwezo wa kunishika mkono naomba anisaidie waungwana.
Naomba mawasiliano yako PM
 
Jf hutapata connection yeyote ndugu yangu. Kwa mda huu jarbu upate lesen afu usichoke kwenda ofsin kwao na usiende branch moja i mean jiongeze uende hata mkoa mwingne tofauti na dar utasaidika mimi nilipata kaz after kubadilisha mkoa la sivyo vyeti vyako hutafaidika navyo. Na pia usiseme tu kuwa n ulinzi tu bali omba hata kazi ya usafi sehemu yeyote ujuane na watu mara ya mwisho utakua connected automatically. Am talking through my experience. Kuna kampun jina { } niliapply kazi ya kozi niliyosomea feedback sikupat zaid ya mara tano lakin cku moja nikaenda huko nkakutana na mkubwa wa usafi akisema watafute cashual wa kufanya usaf wa kufyeka pale pale nkamwambia i can do that na akanikubalia nkachapa cku tano wakanilipa. Cku nyngne nkaenda huko nkapewa kushusha mbolea trela mbili tuliwa weng. Sasa nikawa nimezoea yale mazingira naenda huko nakaa hapo karbu ili tu nafas yeyote ikitokea ukute nipo karibu. Ndo cku moja wakatangaza nafas ya hyo kozi yangu nikaapply ndo nkapata kazi. Lakn ati jf hii hii ya bongo
Jf hii kupata labda mshangazi tu kuanzia pis kali au kazi au tag sahau1
 
Mwalimu vipi nasikia ulitoroka Dubai baada ya kuacha KAZI ya ulinzi hapa Tanzania.
Sasa hivi wewe ni dereva Bolt Bodaboda

Kifupi we jamaa una tamaa na roho mbaya sana
Nilikuwa nakutafuta kitambo sana Yani una tamaa alafu una roho mbaya
Unatak umpige au umtupie majini mkuu? Habar za jamaa umezitoa wapi?
 
Babu ulikuwa wapi? Kitambo hukuonekana jukwaani..!!
I love you too...
Nipo jirani na alipokua akiisgi Penina wa Goba mshangazi nginjanginja komasava, aliyekula hela ya msukuma hadi akamgeuzwa bucha..🤣
 
I love you too...
Nipo jirani na alipokua akiisgi Penina wa Goba mshangazi nginjanginja komasava, aliyekula hela ya msukuma hadi akamgeuzwa bucha..🤣
Kwahiyo ulitekwa na mshangazi?
Mafao yamepona kweli? 😹😹
 
Back
Top Bottom