malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,818
- 4,521
Habar wakuu naomba muongozo abc za biashara ya kituo Cha mafuta mchakato wake ukoje faida kwa siku na vibali na eneo l,na Hali ya ushindand ,,NB deepbond njoo uku tunakuhitaji ushauri
Vip kama eneo Hilo Lina makampuni mengine yamafuta kama afroil,lake oil,gbp,camel na puma Kuna kuuza kweli kunakutoboaProfit margin kwa lita 1 ina range kati ya 130-150. (Ewura ina regulate bei) kwa vyovyote vile huwez pata zaid ya hapo kwenye kila lita.
Faida inategemea Ltrs unazouza kwa siku.
1. Starting cost
-Eneo
-Pump zile zina range kuanzia 10+Mill
-Tank zinatakiwa mbili (diesel na petrol)
Kimoja mpaka kikamilike na kuwekwa chini 10+mill
- bulding setup
2. Permit and certificates
3. Running /operational cost
- licence ya Ewura
- Lesen ya biashara licence
- lesen ya OSHA na Fire certificates
- EIA (enviromental impact assessment )
-umeme
-salaries
-gar la kukuletea mafuta (la kukodi au la kwako) zinaanzia ltrs 13,500 na kuendelea * bei ya kununua kwa ltr moja. na unalipa bank slip.
- maintanance
-na gharama nyingne ndogo ndogo
Kufungua kituo cha mafuta standard (chenye pump 2) roughly andaa 300mill tsh kwa ajili ya infrastucture zote muhimu.
Na Hapo ongezea na 100 mill mtaji wa mafuta petrol na diesel
Taja eneo.Vip kama eneo Hilo Lina makampuni mengine yamafuta kama afroil,lake oil,gbp,camel na puma Kuna kuuza kweli kunakutoboa
Mim Niko tabora,hapo kuuza hizo Lita 1500 inawezekana kweli nahayo makampuni hapoTaja eneo.
Ila kila kituo kitapata wateja, na maanisha Mtagawana wateja hao hao, maana wateja wa petrol hatuna mwembwe. Tunajaza kokote.
Ila kupata faida hapo mtihani.
Kwa hali hiyo ya ushindani Let say umeuza lita 1,500 kwa siku
1,500 * 150 ni 225,000/- faida
Running cost ya siku mfano ,umeme, maji , ulinzi, Stationaries weka 100k.
Mwisho wa mwez pia kuna cost nyingne.
Je hiyo 125k inayobali itachukua muda gan kurecover 400mill yako uliyoilaza chini.
Ni ngumu bro.Mim Niko tabora,hapo kuuza hizo Lita 1500 inawezekana kweli nahayo makampuni hapo
Ni ngumu bro.
Kama unauza chin ya hapo utapata hasara in long run.
Nashaur tafuta kituo chochote ambacho tayar kimejengwa na ukikodishe ili ujifunze hii biashara ya mafuta.
Usikurupuke kwanza kujenga cha kwako.
Itakucost sana
Kwanini unasema kama unahela za mawazo kivipHiyo biashara kama una hela za mawazo achana nayo fanya kitu kingine.
Kama hata comment yangu umeshindwa kuielewa jikite kwenye kilimo.Kwanini unasema kama unahela za mawazo kivip