Naomba muipe maksi hii nyimbo

Naomba muipe maksi hii nyimbo

shadownet

Senior Member
Joined
Aug 4, 2015
Posts
133
Reaction score
678
Habari zenu wakuu...Poleni kwa mihangaiko...

Najua humu ndani kuna watu wengi sana wanaojua muziki na ndio mana kuna kazi nmeileta muichambue, Ninawaomba mnipe mrejesho kama kazi iliofanywa ni nzuri au la, imekaosewa wapi, inahitaji nini cha ziada, Nguvu zielekezwe wapi na ushauri wa ziada kutoka kwenu members wenzangu.

Kazi yenyewe hii hapa chini na ninawaombeni wanajukwaa wenzangu muipime..Mungu awabariki....



Comment zenu ni muhimu sana
 
Ngoma kali, sema itakosa Promo coz ya "uandagraundi"
Hii ilipaswa kuimbwa na JMoo ukute inasumbua sasa

Sent From Ikulu-Magogoni street
 
Ngoma kali, sema itakosa Promo coz ya "uandagraundi"
Hii ilipaswa kuimbwa na JMoo ukute inasumbua sasa

Sent From Ikulu-Magogoni street
Asante sana kwa kulifikiria hilo.... Endapo ungeweza kutupa wazo lolote kuhusu promotion ushauri wako ungesaidia sana....Ubarikiwe sana
 
Habari zenu wakuu...Poleni kwa mihangaiko...

Najua humu ndani kuna watu wengi sana wanaojua muziki na ndio mana kuna kazi nmeileta muichambue, Ninawaomba mnipe mrejesho kama kazi iliofanywa ni nzuri au la, imekaosewa wapi, inahitaji nini cha ziada, Nguvu zielekezwe wapi na ushauri wa ziada kutoka kwenu members wenzangu.

Kazi yenyewe hii hapa chini na ninawaombeni wanajukwaa wenzangu muipime..Mungu awabariki....



Comment zenu ni muhimu sana

Hii ndio ngoma walio chukulia kipande pambogo shulen ??
Uku wengne wamewazunguka na vijana walikua wanaendelea na mazoez ya Mpira??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ofcoz ile cku mnachukua shooting tulipita na gari so nilivyoiona tu nimeijua....
Nyimbo ipo vzur sema ina mapungufu mengi sana...
Creativity hakuna yan sjui mmemtumia director gan..;?
Kuna sehem katka kuunganisha scene naona kabisa beat ina overlap na saut...
Sehem kubwa ya nymbo kaimba kiitikio tu mistar ya uhakika masikion kwa watu hakuna


Ol in ol jamaa saut anayo na anaflow nzur akaze buti ila hyo mfanye kama imevunja inabd itengenezwe sana ili muingie katka ushndan...ngoma kama hzo weng sana wametoa so msifikil apo ndio mmemaliza kaz..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi nimeona ngoma iko poa ila kidogo alieimba chorus naona kama hajafiti hivi ila kama ni mwanzo ni hatua nzuri keep on
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom