shadownet
Senior Member
- Aug 4, 2015
- 133
- 678
Habari zenu wakuu...Poleni kwa mihangaiko...
Najua humu ndani kuna watu wengi sana wanaojua muziki na ndio mana kuna kazi nmeileta muichambue, Ninawaomba mnipe mrejesho kama kazi iliofanywa ni nzuri au la, imekaosewa wapi, inahitaji nini cha ziada, Nguvu zielekezwe wapi na ushauri wa ziada kutoka kwenu members wenzangu.
Kazi yenyewe hii hapa chini na ninawaombeni wanajukwaa wenzangu muipime..Mungu awabariki....
Comment zenu ni muhimu sana
Najua humu ndani kuna watu wengi sana wanaojua muziki na ndio mana kuna kazi nmeileta muichambue, Ninawaomba mnipe mrejesho kama kazi iliofanywa ni nzuri au la, imekaosewa wapi, inahitaji nini cha ziada, Nguvu zielekezwe wapi na ushauri wa ziada kutoka kwenu members wenzangu.
Kazi yenyewe hii hapa chini na ninawaombeni wanajukwaa wenzangu muipime..Mungu awabariki....
Comment zenu ni muhimu sana
