Tanzania 1
Senior Member
- Oct 4, 2007
- 197
- 24
Wakuu,
Nakuombeni mnitumie picha za wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Afr. Mashariki. Naomba zile zinazoonesha umati wa wastaafu hao, na zinazoonesha mmoja mmoja -- hasa wale wanaoonekana wamekula chumvi nyingi mno.
Nakuombeni pia taarifa na habari zinazowahusu wastaafu hao.
Nakuombeni mnitumie hayo kwa PM.
Haya ni ktk kutafuta njia ya kuwasaidia wazee hawa kwa kile kinachowezekana -- hata hivyo, ni mapema mno kuitaja.
Ahsanteni!
Nakuombeni mnitumie picha za wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Afr. Mashariki. Naomba zile zinazoonesha umati wa wastaafu hao, na zinazoonesha mmoja mmoja -- hasa wale wanaoonekana wamekula chumvi nyingi mno.
Nakuombeni pia taarifa na habari zinazowahusu wastaafu hao.
Nakuombeni mnitumie hayo kwa PM.
Haya ni ktk kutafuta njia ya kuwasaidia wazee hawa kwa kile kinachowezekana -- hata hivyo, ni mapema mno kuitaja.
Ahsanteni!