Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,063
- 43,492
Pia waweza kuona kidhibiti halisi cha matumizi ya RAM kulingana na toleo la windows hapa: Memory Limits for Windows and Windows Server Releases (Windows)
hardware reserved wamemaanisha gpu sio?
nafkiri hio issue inategemea na design ya oem. mimi pc yangu ina dedicated vram, hivyo almost ram yangu yote ninayo na kwenye bios sina option ya ku adjust
nyengine ram nyingi inachukuliwa na gpu lakini inakuwa na option ya ya ku adjust kwenye bios.
nyengine zinakuwa shared, ram inatumika kote kote.
jaribu kucheki bios kwenye pc yako unaweza ukakuta sehemu ya ku adjust.
pia siku hizi ram si ghali 20,000 tu zipo za 2gb na siku zote unaekewa slot mbili kwenye laptop moja wanaeka wenyewe na moja unaachiwa wewe ya ku upgrade.
