Mbwichichi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2018
- 267
- 1,331
Poleni ndugu watanzania na majukumu ya kila siku,poleni na tozo na maumivu ya kushikiliwa kwa mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Nasisitiza Mbowe Siyo Gaidi.
Hongereni kwa kupokea chanjo ya corona, Mimi nimeshachanja.
Straight to the point,nina mdogo wangu wa miaka 25 sasa hivi,miaka mitano iliyopita akiwa kidato cha nne alianza kulalamika anasumbuliwa na kichwa na homa za mara kwa mara,hali hii ilikua inamtokea mara kwa mara na alianza kuongeaa maneno yasiyoeleweka kwa wakati fulani ila kuna wakati anakaa vizuri...ilipelekea hadi kushindwa kufanya vuzuri kwenye mtihani wake wa kidato cha nne pamoja na kwamba kabla alikua ni mwenye uwezo darasani kuliko wanafunzi wote.
Baada ya matokeo kuwa mabaya ni kaa alichanganyikiwa mazima sababu alikua haeleweki completely,kule kuumwa kichwa pamoja na kuweweseka kukawa sasa ni parmanent,ni akawa kama kichaa rasmi,tulijaribu tiba mbalimbali za asili na za kisasa llakini hii hali haijataka kmtoka hadi sasa naandika hivi tuko naye nyumbani,keshakua ni mchafu sana..analeta kila aina ya taka nyumbani na uzuri nyumbani anapakumbuka.
Kuna wakati mnaweza ongea naye ila kikimpanda basi anaharibu kila kitu,anazidi kukua sasa na keshaanza kuonyesha dallili za kutaka mapenzi toka kwa wanawake na hapa nyumbani tu watoto wa kike..hofu ni kwamba asije wabaka siku moja.
NAOMBA MSAADA KUNISHAURI NICHUKUE HATUA GANI?,ANAYEJUA TARATIBU ZA KUWASAIDIA HAWA ANISHAURI TAFADHALI,sababu roho inauma sana kumtelekeza mazima akawe wa mtaani sababu ni ndugu,lakini pia umri wake unasonga na mahitaji yake ya kimwili yanaweza kuleta madhara makubwa zaidi.
Nilisikia kuna vituo vya kuwalea,Milembe n.k...naombeni mwenye chochote cha kunishauri tafadhali,naumia sana.
Mbowe Siyo Gaidi.
Hongereni kwa kupokea chanjo ya corona, Mimi nimeshachanja.
Straight to the point,nina mdogo wangu wa miaka 25 sasa hivi,miaka mitano iliyopita akiwa kidato cha nne alianza kulalamika anasumbuliwa na kichwa na homa za mara kwa mara,hali hii ilikua inamtokea mara kwa mara na alianza kuongeaa maneno yasiyoeleweka kwa wakati fulani ila kuna wakati anakaa vizuri...ilipelekea hadi kushindwa kufanya vuzuri kwenye mtihani wake wa kidato cha nne pamoja na kwamba kabla alikua ni mwenye uwezo darasani kuliko wanafunzi wote.
Baada ya matokeo kuwa mabaya ni kaa alichanganyikiwa mazima sababu alikua haeleweki completely,kule kuumwa kichwa pamoja na kuweweseka kukawa sasa ni parmanent,ni akawa kama kichaa rasmi,tulijaribu tiba mbalimbali za asili na za kisasa llakini hii hali haijataka kmtoka hadi sasa naandika hivi tuko naye nyumbani,keshakua ni mchafu sana..analeta kila aina ya taka nyumbani na uzuri nyumbani anapakumbuka.
Kuna wakati mnaweza ongea naye ila kikimpanda basi anaharibu kila kitu,anazidi kukua sasa na keshaanza kuonyesha dallili za kutaka mapenzi toka kwa wanawake na hapa nyumbani tu watoto wa kike..hofu ni kwamba asije wabaka siku moja.
NAOMBA MSAADA KUNISHAURI NICHUKUE HATUA GANI?,ANAYEJUA TARATIBU ZA KUWASAIDIA HAWA ANISHAURI TAFADHALI,sababu roho inauma sana kumtelekeza mazima akawe wa mtaani sababu ni ndugu,lakini pia umri wake unasonga na mahitaji yake ya kimwili yanaweza kuleta madhara makubwa zaidi.
Nilisikia kuna vituo vya kuwalea,Milembe n.k...naombeni mwenye chochote cha kunishauri tafadhali,naumia sana.
Mbowe Siyo Gaidi.