helena mgomu
Member
- Sep 19, 2022
- 17
- 14
Habari Wana jf,
Naomba msaada wenu mdogo wangu anasumbuliwa ovarian cyst, Sasa mwezi wa saba alipimwa utrasound ukawa na cm 3.5 hakupewa dawa yoyoye, walisema utaisha wenyewe.
Sasa juzi maumivu yakawa upande wa kulia akatumia azuma na fragile Leo kaenda kupima hosp wamekuta ana uvimbe upande wa kulia na siyo kushoto na uko na cm 7.30 ×5, kilichotushitua ni kuwa maumivi amekuwa akiyasikia kushoto siku zote na hata vipimo vya awali vinaonesha ni kushoto hiyo cyst ipo
Swali langu no kwamba
imekuaje Tena uvimbe umeenda kulia halafu isionekane kushoto na still maumivu ya upande wa kushoto yanaendelea ikiwa maumivu ya upande wa kulia yameacha baada ya dawa kunywa!
2. Hataua za uvimbe kukua zikoje maana mwezi wa Saba ulikuwa 3.5 cm upande wa kushoto Leo kapima utrasound msomaji kasema ni cm 7.30 uko uapnde wa kulia lkn mgonjwa maumivu yapo kushoto!
3. Naomba kujua utrasound pia huwa zinakosea maana ni wazi jambo haliko SAWA hapo, either Kwa msomaji, mashine, au sisi ndiyo hatuelewi mambo ya kitaalam.
Naomba msaada wenu mdogo wangu anasumbuliwa ovarian cyst, Sasa mwezi wa saba alipimwa utrasound ukawa na cm 3.5 hakupewa dawa yoyoye, walisema utaisha wenyewe.
Sasa juzi maumivu yakawa upande wa kulia akatumia azuma na fragile Leo kaenda kupima hosp wamekuta ana uvimbe upande wa kulia na siyo kushoto na uko na cm 7.30 ×5, kilichotushitua ni kuwa maumivi amekuwa akiyasikia kushoto siku zote na hata vipimo vya awali vinaonesha ni kushoto hiyo cyst ipo
Swali langu no kwamba
imekuaje Tena uvimbe umeenda kulia halafu isionekane kushoto na still maumivu ya upande wa kushoto yanaendelea ikiwa maumivu ya upande wa kulia yameacha baada ya dawa kunywa!
2. Hataua za uvimbe kukua zikoje maana mwezi wa Saba ulikuwa 3.5 cm upande wa kushoto Leo kapima utrasound msomaji kasema ni cm 7.30 uko uapnde wa kulia lkn mgonjwa maumivu yapo kushoto!
3. Naomba kujua utrasound pia huwa zinakosea maana ni wazi jambo haliko SAWA hapo, either Kwa msomaji, mashine, au sisi ndiyo hatuelewi mambo ya kitaalam.